Comrade GeneralKIREFU
Alikuwa msaidizi wa a mamba ccm enzi hizo ujueMohamed Mtanda katendewa haki.Huyu Bwana nampenda sana.Wala sikufurahi walivyomhamisha Arusha.
Natamani siku moja nipate mtu anieleze Faida za hizi teuzi na Hamisha Hamisha..... Zaidi hizi hamisha hamisha zinatumia tozo zetu.Kazi inayopendwa zaidi na Samia iendelee..
Kutoka kuwaapisha wakina Makalla na Chalamila, kabla ya wiki kwisha kuwaapisha majaji, then hatujakaa sawa tunarudi tena kuwaapisha kina Queen Sendiga na Makongoro Nyerere..!!
Naona kelele za Waitara zimempomza. Alisema alitukanwa hadharani.Mbona hana shida...
Ule Mkoa kila Nyumba ina Askari Mstaafu,nilijua tu jamaa atakula mweleka soon.SULEIMAN MZEE anarudi kitengo.
Waitara kama namuona akisherehekea na K vant kubwa mezani!Bwana Mtanda sasa atakuwa utilized vema. Ukuu wa wilaya was too low for him.
Ana kariba ya uongozi, msikivu, mnyenyekevu mno. Anasikiliza na ana maono. Alipotolewa Arusha DC nilijua kakoroga mahali. Ijapokuwa zote ni Ukuu wa wilaya, lakini kuna wilaya na wilaya.
Nenda sasa katatue kero za huko Mara. Mungu akusimamie.
Mimi nakuaminia mno.
Mzee kama vile kelele za Waitara zimemponza.
Mweleka vp? Kamandi ya Jeshi la Maji wewe unaona nafasi ndogo?Ule Mkoa kila Nyumba ina Askari Mstaafu,nilijua tu jamaa atakula mweleka soon.
Sina maana hiyo ila mienendo yake ya ubabe ilimuonesha hafai kuwa Kiongozi wa kiraia.Huko Kamandi ni nyumbani kwao wala hamna shida.Mweleka vp? Kamandi ya Jeshi la Maji wewe unaona nafasi ndogo?
Hawanaga ka,I A kufanya zaidi ya kusubiria kusimamia wizi wa kuraMmh sasa Makongoro kutupwa Rukwa si ndiyo ile nasema kufichwa vichochoroni!.
But impact ya uhamisho huu kila siku huwa ni nini hasa?.
Kuna sehemu niliwahi kusema ukimuuliza kijana mkuu wako wa mkoa au wilaya anaitwa nani, unaweza kutajiwa mtu wa ajabu hapo!.
Secretary general au comrade general? Sijawahi sikia cheo hichoComrade General
Aliwakemea kuendekeza imani za kishirikina badala ya kuhangaika na kuwa maisha bora, aliwapa fact za ukweliSendiga Rukwa wangemuua yule ameleta upumbavu kwa wafipa huu uhamisho hapo sababu ni Sendiga kashindwa kuishi vema na wafipa.
Sasa imagine huyo alikuwa jeshini ana cheo kikubwa. Mambo mengine tunaishi kwa neema tumzee ni mpumbafu sana! ameonyesha uwezo mdogo kuongoza! mdomo wake ulivyo mweusi naamini atakuwa anavuta ndumu
Kazi inayopendwa zaidi na Samia iendelee..
Kutoka kuwaapisha wakina Makalla na Chalamila, kabla ya wiki kwisha kuwaapisha majaji, then hatujakaa sawa tunarudi tena kuwaapisha kina Queen Sendiga na Makongoro Nyerere..!!
Sendiga yuko vizuri sana,ni kiongozi mzuri,Rukwa kaishi vizuri sana ukilinganisha na watangulizi wake.Rukwa tutamiss sanaSendiga ataiweza manyara?? Angekuwa DC tu
atasoma magazeti tuSULEIMAN MZEE anarudi kitengo.