Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,262
- 6,514
Uapisho wao utaibikiri Ikulu mpya😂😂😁😁Lengo ni sherehe ikulu Kila wiki
Uapisho wao utaibikiri Ikulu mpya😂😂😁😁Lengo ni sherehe ikulu Kila wiki
Ndo alisema hakuna kuachana? Makongoro tutammiss sana very friendly yule mbabaSendiga yuko vizuri sana,ni kiongozi mzuri,Rukwa kaishi vizuri sana ukilinganisha na watangulizi wake.Rukwa tutamiss sana
Jamaa n mkorofi/mbabe Sana hawezi Fanya kazi na raia zaidi ya JWTZSULEIMAN MZEE anarudi kitengo.
Meja Jenerali asome magazeti? Una akili kichwani wewe?atasoma magazeti tu
Anajitahidi sana kutatua kero za wananchi,imani yangu atakwenda sawa na Mwita Waitara,Mohamed Mtanda katendewa haki.Huyu Bwana nampenda sana.Wala sikufurahi walivyomhamisha Arusha.
unafkiri system.ikikupotezea utafanya kazi gani? kwani mbuge sahiv anafanya nin?Meja Jenerali asome magazeti? Una akili kichwani wewe?
Charles Makongoro Nyerere Ana umri gani?Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Kenani Kihongosi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo. Anachukua nafasi ya Said Mohamed Mtanda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
-
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Queen Cuthbert Sendiga amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Anachukua nafasi ya Charles Makongoro Nyerere ambaye amehamishiwa Mkoa wa Rukwa
-
View attachment 2632546
Bora wa Mara ameondolewa , usalama wake ulikuwa mashakaniRais Samia Suluhu Hassan amemteua Kenani Kihongosi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo. Anachukua nafasi ya Said Mohamed Mtanda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Queen Cuthbert Sendiga amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Anachukua nafasi ya Charles Makongoro Nyerere ambaye amehamishiwa Mkoa wa Rukwa
View attachment 2632546
Mkuu wa mkoa alijaribu kubip Wakyuria, nao wakapigaBora wa Mara ameondolewa , usalama wake ulikuwa mashakani
Ndo usikie leo... nimetumia hilo neno kimakusudi na nikimaanisha haswa najua ulikariri.Secretary general au comrade general? Sijawahi sikia cheo hicho
Usifanye mchezo na vyeo vya kisiasa hasa ukuu wa mkoa na bendera juu!! Katupwa.Mweleka vp? Kamandi ya Jeshi la Maji wewe unaona nafasi ndogo?
Malizia ana kiburi na majivyno yaliyopita kiasi.Jamaa n mkorofi/mbabe Sana hawezi Fanya kazi na raia zaidi ya JWTZ
Kuonekana tunafanya kaziBut impact ya uhamisho huu kila siku huwa ni nini hasa?.
Kwani wanapofanyiwa uhamisho Kuna haja ya kuwaapisha tena uapisho nijuavyo mm ni kwawateuliwa wapyaKazi inayopendwa zaidi na Samia iendelee..
Kutoka kuwaapisha wakina Makalla na Chalamila, kabla ya wiki kwisha kuwaapisha majaji, then hatujakaa sawa tunarudi tena kuwaapisha kina Queen Sendiga na Makongoro Nyerere..!!
Apa apa inagharimu pesa nyingi za kodiKazi inayopendwa zaidi na Samia iendelee..
Kutoka kuwaapisha wakina Makalla na Chalamila, kabla ya wiki kwisha kuwaapisha majaji, then hatujakaa sawa tunarudi tena kuwaapisha kina Queen Sendiga na Makongoro Nyerere..!!
Umri wa ku staafu umefika senior hata kwa cdf kwa umriSULEIMAN MZEE anarudi kitengo.
Jamaaa yuko humble sanaJamaa n mkorofi/mbabe Sana hawezi Fanya kazi na raia zaidi ya JWTZ
Kazi kwerikweri,"in mzilankende voice "Charles Makongoro Nyerere Ana umri gani?
Kuna uwezekano vijana kukosa kwa Mfumo huu wa kuteua wazee wakati vijana wenye sifa na elimu nzuri, wanaendesha boda boda.