Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Usalama wa taifaHivi yule kamanda Ahmed Msangi yupo wapi?
Usalama wa taifaHivi yule kamanda Ahmed Msangi yupo wapi?
Shida ana haraka sn ya kuteua angeacha kwanza mpk aijue vizuri system teua tengeu aibu tupuMama anakurupuka sana. Na pale Ikulu bado hawajakaa sawa. Yaani mama anateua RAS mtu mwenye darasa la 12 kweli!!? Wanaomchomekea vimemo ndio wanampotosha mama. Inapaswa afanye individual vetting kabla ya kufanya uteuzi.
Anaharaka gani ya kuteua?Mwishowe hili litakuwa kero, kama sio tatizo kabisa!
Inaonyesha huko ndani hawana utulivu bado; sijui itawachukua muda gani waanze kuonekana kufanya mambo kwa uhakika.
Kumbe Drs La 12 Hawapashwi Kupata Uteuzi?Mama anakurupuka sana. Na pale Ikulu bado hawajakaa sawa. Yaani mama anateua RAS mtu mwenye darasa la 12 kweli!!? Wanaomchomekea vimemo ndio wanampotosha mama. Inapaswa afanye individual vetting kabla ya kufanya uteuzi..
Unajua tofauti ya cheo (rank) na madaraka?Huyu Wambura ndanu ya mwezi mmoja kapanda vyeo mara nne, katoka Dodoma kaenda Dar kuchukuwa nafasi ya mambosasa mara paap kawa DCI ndani ya wiki mbili duh, Zali zalini
Alipelekwa ZanzibarYule mtekaji wa Ulimboka?
Mkuu nimewaza kama ww, amekula Posho ya Uhamisho toka Dodoma kwenda DSM, ndani ya Mwezi tena anakula Posho ya Uhamisho toka DSM kurudi Dom..!!!Kwa hiyo Wambura ataondoka DSM?
Ndiyo Ukweli WenyewePolisi Ni polisi tu
SerikaliMkuu nimewaza kama ww, amekula Posho ya Uhamisho toka Dodoma kwenda DSM, ndani ya Mwezi tena anakula Posho ya Uhamisho toka DSM kurudi Dom..!!!
Wala Hamna aibu yoyote, mwacheni Raisi aongoze anavyoona inafaa.Shida ana haraka sn ya kuteua angeacha kwanza mpk aijue vizuri system teua tengeu aibu tupu
Achofanya ni sahihi?Wala Hamna aibu yoyote, mwacheni Raisi aongoze anavyoona inafaa.
Darasa la 12 anaweza kabisa kuwa Dc, Rc au mbunge, lakini nafasi ya RAS ama DAS anatakiwa mtaalamu Ili aweze kumshauri dc ama rc kitaalam. Darasa la 12 HAWEZ kua Ras Ama Das, hayo ni maoni yanguKumbe Drs La 12 Hawapashwi Kupata Uteuzi?
Ahmed Msangi wakati huo akiwa Oysterbay. Jamaa ni Mshenzi Sana huyu kwani alimfanyia unyama Sana Dr. Ulimboka.Yule mtekaji wa Ulimboka?
Ngojeni sasa apewe uRPC dar 😂😂Ahmed Msangi wakati huo akiwa Oysterbay. Jamaa ni Mshenzi Sana huyu kwani alimfanyia unyama Sana Dr. Ulimboka.