Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Alw"Incompetence" ni pamoja na kutokuwa makini kwenye uteuzi unaoishia kwenye "kutengua", au unaonaje mkuu 'kabulala
Always inakuaga Ngumu kumwambia Mkubwa kwamba amekosea(especially a leader of a Nation... instead Sisi subjects wake inabidi tukosoe Kwa staha na kuwalaumu wasaidizi wake..but in a real sense , malalamiko yetu yanamlenga yeye but in a polite tone."Incompetence" ni pamoja na kutokuwa makini kwenye uteuzi unaoishia kwenye "kutengua", au unaonaje mkuu 'kabulala'!
Teua na tengua baada ya siku moja imekuwa kawaida
Hilo ni sehemu ya matatizo yetu, kutosema au kutokuwa wawazi, badala yake tunazungukazunguka tuuu. Hii ni tabia ya kinafiki, na haifai kabisa.Alw
Always inakuaga Ngumu kumwambia Mkubwa kwamba amekosea(especially a leader of a Nation... instead Sisi subjects wake inabidi tukosoe Kwa staha na kuwalaumu wasaidizi wake..but in a real sense , malalamiko yetu yanamlenga yeye but in a polite tone.
Wewe dogo fiksi sana. Mara useme Diwani nje, Mara uteuzi wa Ma RPC.Kuna,uteuzi mwingine unakuja ZPC (ZONAL POLICE COMMENDER ) MA RPC KAENI MGUU SAWA
Na sasani IGPWambura atakuwa anachekelea tu maana mavyeo yamepanda fasta