Maneno mengi ambayo yangefupishwa tu kwa kutoa kadi ya uanachama ya Hamza- AMBAYO HAMNA-MANENO TU- BURE KABISAHebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi.
Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end View attachment 1925481View attachment 1925482View attachment 1925484View attachment 1925485
Unaelewa tofauti kati ya mwanachama na kada? Labda tuanzie hapoManeno mengi ambayo yangefupishwa tu kwa kutoa kadi ya uanachama ya Hamza- AMBAYO HAMNA-MANENO TU- BURE KABISA
Hii nchi si ya kwenu peke yenu, ngoja turudi kutoka Burundi mtatutambuando washafungiwa sasa, wafanye wanachotaka sasa
Alifeli shule ndo maana akakimbilia kwenye kada ya waliofeliwaliosoma na Msigwa hivi alipata division ngapi vile?
Hilo gazeti lina nia ovu na hiyo adhabu ni haki yao,kwani ukisema hamza ni hatari kuna ubaya gani?Nimeona Gerson Msigwa ameposti clip anasonga ugali kama alivyoita nguna nikajua huyu ni mchumia tumbo! Anaangalia sana tumbo lake na hii imekuwa ni kasoro kubwa sana Serikali kujaza Vila.za badala ya watu wenye ueledi!
Kwa mtu aliyesoma vizuri na anayejua sheria vizuri, kwa utetezi wa Gazeti la Raia Mwema inabidi Serikali iwalipe na si kuwafungia ama Serikali ndo ingejifungia kwa kukosa watu wenye ueledi wa kuisemea!
Unajua maana ya kada?Maneno mengi ambayo yangefupishwa tu kwa kutoa kadi ya uanachama ya Hamza- AMBAYO HAMNA-MANENO TU- BURE KABISA
Safi Sana umeeleweka sana. Mmeonewa sana kufungiwa uchapishaji kwa mwezi mmoja. Kama ni hivyo Basi Mh Mbatia asimamishwe kuendesha chama chake NCCR Mageuzi kwa mwezi mmoja.Hebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi.
Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end View attachment 1925481View attachment 1925482View attachment 1925484View attachment 1925485
unataka kuniambia nini ambacho unadhani ni kipya chini ya jua na mimi sikielewi?Unajua maana ya kada?
hapana -- nielewesheUnaelewa tofauti kati ya mwanachama na kada? Labda tuanzie hapo
utetezi unaridhishaHebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi.
Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end
Pia soma: Thread 'Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30' Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30
View attachment 1925481View attachment 1925482View attachment 1925484View attachment 1925485