Utetezi mahakamani

Utetezi mahakamani

dazu

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
365
Reaction score
76
Jamaa alikua anashtakiwa kwa kosa la wizi, ilipofika zamu yake kutoa utetezi wake, alisimama kwa kujiamini na kueleza;

"Mheshimiwa Hakimu, napenda kuitaarifu mahakama yako tukufu kwamba mimi sikuiba, na kama mahakama yako itaniachia huru sitarudia tena!"
 
Sitarudia tena kuiba ua kuja mahakamani HAPO SIJAELEWA?
 
Ktk sheria kuna kitu kinaitwa Plain English Movement,kuna sehemu ktk masomo tulipewa mfano,jamaa alishtakiwa kwa kuiba mali,hakimu akasema: mr...wewe ni mwizi aliyeiba....akaendelea na mashtaka na mwisho akamwambia una la kujitetea kabla ya mshitaki kudhibitisha? Jamaa akamjibu hakimu,mh.hakimu mwanzo umesoma vibaya,umeanza mr...ni mwizi,umeiba...una uhakika gani kuwa mi mwizi ? Mi si mwizi ila niliiba...kumbe hakimu alikosea kwa kuanza na conclusion. Hapa ilibidi asikilize madai na utetezi ndo ktk kusoma hukumu ndo angemuita mwizi baada ya kudhibitisha. Na hapo hakimu akapata muda wa kujitetea kwa alichomaanisha na ndo akaendelea na kazi yake, Kwenye sheria kuna mambo huku!
 
Ktk sheria kuna kitu kinaitwa Plain English Movement,kuna sehemu ktk masomo tulipewa mfano,jamaa alishtakiwa kwa kuiba mali,hakimu akasema: mr...wewe ni mwizi aliyeiba....akaendelea na mashtaka na mwisho akamwambia una la kujitetea kabla ya mshitaki kudhibitisha? Jamaa akamjibu hakimu,mh.hakimu mwanzo umesoma vibaya,umeanza mr...ni mwizi,umeiba...una uhakika gani kuwa mi mwizi ? Mi si mwizi ila niliiba...kumbe hakimu alikosea kwa kuanza na conclusion. Hapa ilibidi asikilize madai na utetezi ndo ktk kusoma hukumu ndo angemuita mwizi baada ya kudhibitisha. Na hapo hakimu akapata muda wa kujitetea kwa alichomaanisha na ndo akaendelea na kazi yake, Kwenye sheria kuna mambo huku!
Asante kwa ku2pa japo kduchu haya mambo ya sheria
 
Ktk sheria kuna kitu kinaitwa Plain English Movement,kuna sehemu ktk masomo tulipewa mfano,jamaa alishtakiwa kwa kuiba mali,hakimu akasema: mr...wewe ni mwizi aliyeiba....akaendelea na mashtaka na mwisho akamwambia una la kujitetea kabla ya mshitaki kudhibitisha? Jamaa akamjibu hakimu,mh.hakimu mwanzo umesoma vibaya,umeanza mr...ni mwizi,umeiba...una uhakika gani kuwa mi mwizi ? Mi si mwizi ila niliiba...kumbe hakimu alikosea kwa kuanza na conclusion. Hapa ilibidi asikilize madai na utetezi ndo ktk kusoma hukumu ndo angemuita mwizi baada ya kudhibitisha. Na hapo hakimu akapata muda wa kujitetea kwa alichomaanisha na ndo akaendelea na kazi yake, Kwenye sheria kuna mambo huku!
"Presumption of innocence", kila mtu huwa si mkosa mpaka itakapothibitishwa kuwa ni mkosa, na ndio maana mshitakiwa anatajwa kama mtuhumiwa mpaka itapothibitika kuwa ametenda kosa.
 
Back
Top Bottom