Utengenezaji wa viumbe wa Genetic Engineering

Utengenezaji wa viumbe wa Genetic Engineering

NullPointer

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
3,461
Reaction score
2,275
Sijui kama neno utengenezaji litakua sahihi ila ntaassume ukisoma utanielewa.
Genetic Engineering leo, hii field inahusiana na manipulation ya viumbe kwa kutumia biotechnology ambapo DNA ya kiumbe kimoja yaweza kuchanganywa na kiumbe kingine ili kupata kiumbe chenye tabia flani ambayo inakua imekusudiwa. Mfano, mtu anaweza kutengeneza bacteria ambayo ukiiweka kwenye maji ambayo yana wadudu wa aina flani hatari basi maji hayo hubadilika rangi kama indication, kwenye medicine imetumika kumodify human growth hormones, insulin production, kupambana na bacteria etc. Kuna matumizi mengi sana kutokana na hii field ila focus yangu haitokaa sana kutoa mafunzo ya Genetic Engineering, mtu anaweza kusearch na kupata data nyingi sana kwa ambaye yuko interested, focus yangu hasa ni Je, kwa nini Tanzania na nchi nyingine Africa in general fields kama hizi yani ni kama hazipo vile, hata watu ambao wanajihusisha ni wachache sana, si kua hazina faida Hapana, na third world countries zinahitaji sana hizi technology kuliko hata first world countries ila interest ni ndogo sana.. Ukiingia high schools wanaosoma science utakuta "Doctor of medicine, Lab technician, Civil Engineer, Oil&Petroleum" wengi watakujibu hivo, wachache utasikia "Computer science/engineering"
Tatizo nini?
 
utaulizwa "tutaajiliwa wapi?"
Kua na ideology ya kuajiriwa itatumalizia vijana.
Waliofanikiwa wengi ni waliokua na mawazo ya kujiajiri toka mwanzo, watu wana ndoto za kutengeneza industry kubwa na mtu anakupa mpango from scratch anaanza kukomaa hadi anafikia lengo lake. Mawazo ya kusema ati ntamaliza shule ntaenda ofisini, ntavaa suti na tie.. Au doctors kusema ntavaa koti jeupe nitibu watu basi. Nchi ka US, S.Korea doctors wakati wanafanya kazi wanakua wanafanya research pia, research on cancer, HIV na diseases nyingine sio kutibu tu afu imetoka. Wa kumlaumu ni mwanafunzi mwenyewe au government? hapo pagumu kdg
 
Sijui kama neno utengenezaji litakua sahihi ila ntaassume ukisoma utanielewa.
Genetic Engineering leo, hii field inahusiana na manipulation ya viumbe kwa kutumia biotechnology ambapo DNA ya kiumbe kimoja yaweza kuchanganywa na kiumbe kingine ili kupata kiumbe chenye tabia flani ambayo inakua imekusudiwa. Mfano, mtu anaweza kutengeneza bacteria ambayo ukiiweka kwenye maji ambayo yana wadudu wa aina flani hatari basi maji hayo hubadilika rangi kama indication, kwenye medicine imetumika kumodify human growth hormones, insulin production, kupambana na bacteria etc. Kuna matumizi mengi sana kutokana na hii field ila focus yangu haitokaa sana kutoa mafunzo ya Genetic Engineering, mtu anaweza kusearch na kupata data nyingi sana kwa ambaye yuko interested, focus yangu hasa ni Je, kwa nini Tanzania na nchi nyingine Africa in general fields kama hizi yani ni kama hazipo vile, hata watu ambao wanajihusisha ni wachache sana, si kua hazina faida Hapana, na third world countries zinahitaji sana hizi technology kuliko hata first world countries ila interest ni ndogo sana.. Ukiingia high schools wanaosoma science utakuta "Doctor of medicine, Lab technician, Civil Engineer, Oil&Petroleum" wengi watakujibu hivo, wachache utasikia "Computer science/engineering"
Tatizo nini?

Nakujibu swali lako kama ifuatavyo:-

1.Hapa Bongo na nchi nyingi za Africa tumeweka ETHICS mbele na ktk hii Geneti engineering kuna violations kubwa sana ya maadili mfano Nyanya zinaweza kuwa genetic engineered na kuwekewa HUman Proteins sasa unafikiri "How will you fill knowing unakula your fellow human being i.e canibalism
Mfano mwingine ni Insulin ambapo hapa wagonjwa wakisukari wanahusika kuna Bovine Insulin(insulin ya ng'ombe) na Porcile insulin(Insulin ya Nguruwe) sasa unafikiri SHEIKH atajisikiaje pamoja na kuwa anaumwa kuwekewa majitu ya Nguruwe ambayo kwake ni najisi.
Moreworse,vyakula vyote vilivyotengenezwa kwa hii teknolojia haviwekewi LABELINGS kuonesha kuwa hapa kuna hiki na hiki ili walau watumiaji wachague(hii wameikataa makampuni mengi kulinda biashara zao)
Hii technolojia pia ina-involve MURDER maana Stem cells nyingi zinachukuliwa katika Embryos sasa jiulize kimaadili ni halali kuua Mayai ya mwanamke au sperms za mwanaume au Embryo ilikufanyia haya MADUDU...Certainly no
Hiyo ni point of ethics na nahisi ndo inasababisha nchi nyingi zisi-adopt hii kitu

2.Iwapo nchi za Africa wataendekeza Genetic engineering inamaanisha WAKULIMA watakuwa waepigwa chini hapa namaanisha kuwa kwa kutumia genetic engineering mtu anaweza kuwekea Mazao genes za viumbe wakuao fasta at the same time kufanya crosslinking ya genes ya mazao yenye kutoa high yield...Kumbe mwisho wa siku Mazao ya wanyama na ya shamba yanazalishwa kwa njia rahisi,kwa mda mfupi na yenye ubora zaidi na PRICE ukija sokoni ni bei rahisi,unafikiri wale wakulima wa kienyeji hapa siwatakufa na njaa na umasikini maana soko lao litakuwa limeingiliwa?
Basi kama bado tunawapenda wakulima wetu inabidi tusi-entertain hii kitu

3.Genetic engineers wengi wako curious kufanya manipulation na wanaweza kuiangamiza dunia
Assume ule mgogoro wa Kikwete na raisi wa rwanda au wa Malawi hapa Bongo tungekuwa na Biotechnologist si tungewashambulia hawa maraisi na nchi zao kwa Biological weapons kama za Small pox na Anthrax na kuziangamiza nchi zao najua hii BIO-TERROSIM ilitumika pia ktk vita ya Dunia na Jinsi wabongo tulivyo na Fujo tukipata hii technology si kila siku tutaanza kuzozana na HIGH POWERS

4.Last but not least,Hadi uwe Biotechnologist sio mchezo lazima uwe umefanya Biochemistry(Molecular Biology) na hii course hapa Bongo sio faculty tegemezi bali ni couse ndani ya Faculty kama tatu hivi MD(Doctor of Medicine),BVM(Bsc in Verternary medicine) na Biotechnology
Baada ya kusoma Hiki kipindi cha Molecular Biology ambayo kwa hapa bongo inasomwa under Biochemistry na ni kipindi kimoja kigumu sana,ukipata Score nzuri hapo ndo unaweza soma MASTERS ya Molecular Biology
Najua utauliza Je,Limiting factor ni nn?

Jiulize hapa Tanzania wanaosoma hizo Faculty nilizozitaja ni wangapi na ni wangapi mwisho wa siku wanamaliza masomo yao na kuingia kazini?
Nchi kila siku inalalamika hamna madaktari,hamna mabwana mifugo unafikiri kweli kwa kulalama kama uku tutapata wataalamu wa Genetic engineering kweli au serikali itaona ni bora kuwekeza katika afya kuliko kuwekeza katika hii kitu ambayo inamatatizo yake

Nawasilisha
 
Nakujibu swali lako kama ifuatavyo:-

1.Hapa Bongo na nchi nyingi za Africa tumeweka ETHICS mbele na ktk hii Geneti engineering kuna violations kubwa sana ya maadili mfano Nyanya zinaweza kuwa genetic engineered na kuwekewa HUman Proteins sasa unafikiri "How will you fill knowing unakula your fellow human being i.e canibalism
Mfano mwingine ni Insulin ambapo hapa wagonjwa wakisukari wanahusika kuna Bovine Insulin(insulin ya ng'ombe) na Porcile insulin(Insulin ya Nguruwe) sasa unafikiri SHEIKH atajisikiaje pamoja na kuwa anaumwa kuwekewa majitu ya Nguruwe ambayo kwake ni najisi.
Moreworse,vyakula vyote vilivyotengenezwa kwa hii teknolojia haviwekewi LABELINGS kuonesha kuwa hapa kuna hiki na hiki ili walau watumiaji wachague(hii wameikataa makampuni mengi kulinda biashara zao)
Hii technolojia pia ina-involve MURDER maana Stem cells nyingi zinachukuliwa katika Embryos sasa jiulize kimaadili ni halali kuua Mayai ya mwanamke au sperms za mwanaume au Embryo ilikufanyia haya MADUDU...Certainly no
Hiyo ni point of ethics na nahisi ndo inasababisha nchi nyingi zisi-adopt hii kitu

2.Iwapo nchi za Africa wataendekeza Genetic engineering inamaanisha WAKULIMA watakuwa waepigwa chini hapa namaanisha kuwa kwa kutumia genetic engineering mtu anaweza kuwekea Mazao genes za viumbe wakuao fasta at the same time kufanya crosslinking ya genes ya mazao yenye kutoa high yield...Kumbe mwisho wa siku Mazao ya wanyama na ya shamba yanazalishwa kwa njia rahisi,kwa mda mfupi na yenye ubora zaidi na PRICE ukija sokoni ni bei rahisi,unafikiri wale wakulima wa kienyeji hapa siwatakufa na njaa na umasikini maana soko lao litakuwa limeingiliwa?
Basi kama bado tunawapenda wakulima wetu inabidi tusi-entertain hii kitu

3.Genetic engineers wengi wako curious kufanya manipulation na wanaweza kuiangamiza dunia
Assume ule mgogoro wa Kikwete na raisi wa rwanda au wa Malawi hapa Bongo tungekuwa na Biotechnologist si tungewashambulia hawa maraisi na nchi zao kwa Biological weapons kama za Small pox na Anthrax na kuziangamiza nchi zao najua hii BIO-TERROSIM ilitumika pia ktk vita ya Dunia na Jinsi wabongo tulivyo na Fujo tukipata hii technology si kila siku tutaanza kuzozana na HIGH POWERS

4.Last but not least,Hadi uwe Biotechnologist sio mchezo lazima uwe umefanya Biochemistry(Molecular Biology) na hii course hapa Bongo sio faculty tegemezi bali ni couse ndani ya Faculty kama tatu hivi MD(Doctor of Medicine),BVM(Bsc in Verternary medicine) na Biotechnology
Baada ya kusoma Hiki kipindi cha Molecular Biology ambayo kwa hapa bongo inasomwa under Biochemistry na ni kipindi kimoja kigumu sana,ukipata Score nzuri hapo ndo unaweza soma MASTERS ya Molecular Biology
Najua utauliza Je,Limiting factor ni nn?

Jiulize hapa Tanzania wanaosoma hizo Faculty nilizozitaja ni wangapi na ni wangapi mwisho wa siku wanamaliza masomo yao na kuingia kazini?
Nchi kila siku inalalamika hamna madaktari,hamna mabwana mifugo unafikiri kweli kwa kulalama kama uku tutapata wataalamu wa Genetic engineering kweli au serikali itaona ni bora kuwekeza katika afya kuliko kuwekeza katika hii kitu ambayo inamatatizo yake

Nawasilisha

Kuhusu moja hapo juu. Sawa kuna vitu ambavyo mtu hawezi kula in general, lakini hivi vikikosa soko means watu wataangalia kutengeneza vingine ambavyo havipingani na ethics za watu, na still kama Sheikh ataona mzigo nguruwe, watu wangapi wanatumia kitimoto siku hizi? Si lazima kufikiria waislamu tu, wapo watakaoweza tumia insulin ya nguruwe na kutibu kisukari, still hao wako worthy of saving kuliko kuacha, watu wengi sana husumbuliwa na kisukari na wengi wako tayari kupokea anykind of treatment. Na kuhusu stem cells, si lazima uuaji, Stem cells technology imefika mbali sana sasa hivi, kadri siku zinavozidi kwenda wanazidi kupunguza the negatives.

Kuhusu mbili, si kweli kua Wakulima watapigwa chini, mbona hadi leo wakulima wapo wanaotumia mbegu ambazo ni modified kwenye mazao yao, kitendo cha kureplace mmea moja kuweka ambao ni bora zaidi na unakua fasta haisemi sasa tunahitaj mkulima mwingine na si yule yule, hamna, still yule yule anaweza take part tena akaongeza production zaidi. Msosi bongo still hautoshi hata wakulima waliopo bado tunahitaji wengi zaidi.

Kuhusu tatu si kweli, usichuiulie Genetics engineers kama wametokea planet nyingine vile, usisahau anaweza akawa ni rafiki yako, au mtoto wa Sheikh au Pastor au mfanya biashara yoyote yule, si wote wako curious kutengeneza Biological weapons, tena infact scientists wengi wanapenda kufanya something better for the world na sio kuua watu. Na bado kila research inayofanya lazima iwe chini ya uangalizi na hua kuna session pia ya kukaa na jopo la watu wanaoanza psychology na kuonyesha kama research yako inaweza kutumika kama a weapon. Hivo vyote hua vinaangaliwa.

Hapo kwenye nne naweza kuungana na wewe Bongo hii course haina kipaumbele kabisa na wataalam wa kutosha, ila sasa, we need people wasomee, we need lecturers waliosafi, kwa course zenye matumizi makubwa sana kwetu sisi afu hatuna wataalam wake ni ujinga, one more thing kuonyesha waafrika walivyolala. Kama kuajiri mtu kutoka nje imeshindikana, kubeba wanafunzi kupeleka wakasoma wakarudi na maujuzi kwao haishindikani, serikali inahela nyingi sana ya kuweza kusomesha wataalam wachache kwenye sector kama hizi.
 
Dreson4 naweza nikubaliane na wewe hii paragraph ya mwisho Africa kweli hii Technolojia wakiifumbia macho basi tutabaki kuitwa "developing countries" mpaka ukamilifu wa dahari

Ni kweli Tanzania wamezembea kila siku wanatoa mi sponsors za hela nyingi kwa faculty tena ambazo ziko hapa hapa bongo
Mfano mm nimeshuhudia ile Exchange program ya Mozambique mtu anaenda kusoma Pharmacy na hela anayopewa kutumia ni zaidi ya Maelezo kiasi kwamba mtu anaanza hafi ku import magari ya maana...kwa nn hizi hela wasiwasomeshe wataalamu walau 5 kila mwaka kati hii technolojia na imani pamoja kuwa ina SIDE EFFECTS lkn tutanufaika mno na hii kitu
 
Last edited by a moderator:
Nchi ya za africa ni za kijinga tu hakuna cha maadili wala nn, hivi unadhn nyerere hakuandaa vijna kwaajili ya haya mambo! thubutu aliwaandaa sana tu.

Jana nilikuwa naongea na dk wa civil engineer mmoja kwenye chuo kimoja hivi kasema hivi.


Tanzania kipa umbele ni wanasiasa, yy kasom Toronto , ila alikuwa na mate wake ambaye ni supa genius na jamaa ni msukuma wa mwanza .Yupo state mpaka kesho na tz haimtaki

Huyo bwana ndie aliyegundua hizo ndeg ambazo marekan anapita bila kuonekana kwenye radar.Pia anatengeneza hizi drone.

Nataka kusema nn waafrika hasa wanasayansi wazuri wamenyimwa fursa ili wakuvwa waendelee kula vitamu.

Afrika haina maadili kama njuwa anavyosema, kwanza hata sijui njuwa anasema maadili gan. Ila aelewe kwamba Africa is a home of ignorance over. Unadhani hii mada inaweza pata wachangiaji kama ile ya kumsifu fisadi lowasa?????.

Hivi unajua nan anayesimamia utafiti wa mafuta tanzani?

Kwa misingi ipi unajua?

Unadhani wanatumia njia za miaka gani?, na ufanisi wake upoje.


Mleta mada kaenda mbali sana lakin akumbuke,hata ma enginer wa kawaida tu hawakuwahi pewa hata bajet hata ya kuanzisha kiwanda cha kutengeneza sindano! tunafata china hizo.

Ambacho ujui hapa siasa iko mbele kwa Africa, Utaki unaacha.
 
Mi nadhani mna mawazo mazuri!! Hii kozi sina imani kama ipo hapa nchini..ila ni lazima tutambue umuhimu wake hasa katika zama hizi!!!

Kuna mtu katoa wazo wanafunzi wakasomeshwe nje..ni wazo zuri ila kwa hii nchi yetu sijui wanawaza nini!!!
Its just a matter of time..
 
Ambacho ujui hapa siasa iko mbele kwa Africa, Utaki unaacha.
Mkuu naona umejaribu kuonyesha kua sio Wanafunzi tu wenyewe, na serikali nayo imekaa na kuwazia siasa tu na kusahau kua tupo katika dunia ya sayansi na teknolojia. Ni aibu, na ni kweli upande mwingi umelalia kwa serikali, ni jukumu la serikali kuwatengenezea wanafunzi exposure wapate kuyajua mambo ya dunia yanavokwenda, wapate kua na ufikiria wa mbali. Tofauti nilikuja kuiona baada ya kumaliza highschool bongo na wenda kusoma nje moja ya vyuo vikubwa tu duniani. Nje nimekutana na watoto high school wanatengeneza vitu vikubwa sana, mfano kuna kampuni ya Intel hua inafanya mashindano kila mwaka, wanafunzi wa highschool wanafanya project mbalimbali na kutengeneza devices afu mshindi anapewa zawadi, kuna watoto wametengeneza robots, moja katengeneza device ambayo inaweza kuchaji betri ya simu full ndani ya dakika moja, mwingine katengeneza Virtual Reality headset. Hawa ni high school, wakiingia chuo wakamaliza wanakua sehemu gani??
Wanapata support kubwa, Ni kweli Serikali na hata watu wenyewe pia wamekalia sana siasa, wamesahau mambo mengine ya msingi zaidi
 
Mi nadhani mna mawazo mazuri!! Hii kozi sina imani kama ipo hapa nchini..ila ni lazima tutambue umuhimu wake hasa katika zama hizi!!!

Kuna mtu katoa wazo wanafunzi wakasomeshwe nje..ni wazo zuri ila kwa hii nchi yetu sijui wanawaza nini!!!
Its just a matter of time..
Watoto wanaoenda Havard au Princeton au MIT kila mwaka hua wanatoka shule za watoto wa kishua, International school of Moshi, Isamilo, Heaven of Peace Academy, wale hata kwa uchakachuzi wanapita na wanaenda kupewa scholarship kabisa. Ila chukua mtoto moja toka hizo shule nenda kampambanishe na raia imepinda kwenye vitabu iko Mzumbe high school uone.
Serikali hata ya Kenya tu inasaidia wanafunzi waliofaulu vizuri kwenda vyuo bora duniani, Tanzania inasupport ati scholarships za Algeria na Mozambique, sijui akili imekaa kwenye makalio. Hadi watoto walioingia top ten ya taifa utakuta wamekaa bongo wanapigwa jua.
 
Mkuu naona umejaribu kuonyesha kua sio Wanafunzi tu wenyewe, na serikali nayo imekaa na kuwazia siasa tu na kusahau kua tupo katika dunia ya sayansi na teknolojia. Ni aibu, na ni kweli upande mwingi umelalia kwa serikali, ni jukumu la serikali kuwatengenezea wanafunzi exposure wapate kuyajua mambo ya dunia yanavokwenda, wapate kua na ufikiria wa mbali. Tofauti nilikuja kuiona baada ya kumaliza highschool bongo na wenda kusoma nje moja ya vyuo vikubwa tu duniani. Nje nimekutana na watoto high school wanatengeneza vitu vikubwa sana, mfano kuna kampuni ya Intel hua inafanya mashindano kila mwaka, wanafunzi wa highschool wanafanya project mbalimbali na kutengeneza devices afu mshindi anapewa zawadi, kuna watoto wametengeneza robots, moja katengeneza device ambayo inaweza kuchaji betri ya simu full ndani ya dakika moja, mwingine katengeneza Virtual Reality headset. Hawa ni high school, wakiingia chuo wakamaliza wanakua sehemu gani??
Wanapata support kubwa, Ni kweli Serikali na hata watu wenyewe pia wamekalia sana siasa, wamesahau mambo mengine ya msingi zaidi


Unadhani hawajui? wanajua sana tu ila hawataki hayo, mambo maana hawataki nasi tupate neema kama wao.


Unajua nn umeshapata majibu niloouliza apa juu?


Hwa hawajaamua na sie tulivyowahinga tunatabasmu tu, na kuimbiwa wimbo wa vijna ndo nguvu na tunaamini ipo siku tutapataneeema. Kaeni muwaulize elimu alizowasomesha nyerere walizitumia vitu kutusaidia ss!

Zaid zaidi walianza kutusonesha kwa ada wakati wenyewe wamesoma bure.

Waulize hizo pesa wnazochukua kwenye ada zao walinlipa nan?


Wanasayansi wapo tanzania toa wazo kwamba hawapo, unaambiwa hawapo uendelee kuliwa, take care na jumapili njema.
 
Wanasayansi wapo tanzania toa wazo kwamba hawapo, unaambiwa hawapo uendelee kuliwa, take care na jumapili njema.
Wapo wapi? we umewaona? wamefanya nini?
Usiwe unaongelea watanzania waliopo nchi za nje, hao wapo na usiwahesabu tena, wapo wana kazi zao na maisha yao safi tu, wengine lecturers vyuo vikubwa duniani.. Ila wa bongo wamefanya nini ambacho tunakijua?? em nifungue macho maana siwasikii kabisa, sio internationally tu, hata locally...
Jumapili njema na kwako pia
 
Wapo wapi? we umewaona? wamefanya nini?
Usiwe unaongelea watanzania waliopo nchi za nje, hao wapo na usiwahesabu tena, wapo wana kazi zao na maisha yao safi tu, wengine lecturers vyuo vikubwa duniani.. Ila wa bongo wamefanya nini ambacho tunakijua?? em nifungue macho maana siwasikii kabisa, sio internationally tu, hata locally...
Jumapili njema na kwako pia

Unataka sema tz hatuna ma engineer hata wa kutengeneza sindano!

Wenzetu wanapeleka wanafunzi Nasa kufanya research sie tunapeleka wabunge!

Wanasaynsi sio lazima wa kutebgeneza ndege mkuu.

Hata awa wa kushona viatu, ili mradi wanatusaidia ni wetu na watakuwa na msaada tu.

Sijui kama unaelewa majibu ambayo nimekuwa nikikuuliza na kusstiza kwamba bongo, pamoja na kuwepi ao wanasayansi lakin is not a privilege kwa nchi yetu.

Sio lazima uwe nao elfu kumia hata wataon,kama wanakuwa utilized na kuleta impact ni bora hao hao.

Kwan ww sio mwanasayansi, kwani unafikiria kutusaidia nn ndugzo?

Au naww unasubiri suit n tie?
Kama no umepanga nn, vip respond ya serikli yako?

Ukipata majibu hauna sababu ya kutaka nikufumbue macho,ila ona mwenyew kaka.

Wajua kuna kijana alikuwa anarusha matangazo ya redio mkoa fulan kwa ujanja wake, je wajua kilichomkuta?

Je apo serikali jinga inawahitaji wanasayansi?

Hujawahi siki jinius apa kwetu wantengenza vitu! na baada ya apo what hapened.

U think uanasayansi ni mpak wote waende shule,kuna ma supa gen,pia.
 
Watoto wanaoenda Havard au Princeton au MIT kila mwaka hua wanatoka shule za watoto wa kishua, International school of Moshi, Isamilo, Heaven of Peace Academy, wale hata kwa uchakachuzi wanapita na wanaenda kupewa scholarship kabisa. Ila chukua mtoto moja toka hizo shule nenda kampambanishe na raia imepinda kwenye vitabu iko Mzumbe high school uone.
Serikali hata ya Kenya tu inasaidia wanafunzi waliofaulu vizuri kwenda vyuo bora duniani, Tanzania inasupport ati scholarships za Algeria na Mozambique, sijui akili imekaa kwenye makalio. Hadi watoto walioingia top ten ya taifa utakuta wamekaa bongo wanapigwa jua.

Hapo kwenye RED ndipo viongozi wetu wanapo bore na borea huko mtu angekuwa anaenda kusoma course ambazo haziko Bongo ningewaelewa unakuta mtu anasoma MD wakati Pale Muhimbili kuna MD ambayo inashika kwa sasa Africa na ni kati ya vyuo bora sasa....naweza kukubaliana na wewe kuwa huku nikufikiria kwa kutumia ma*----

Kitu kingine nilichogundua hapa Tanzania mtu aendi kusomeshwa ughaibuni sana sana out Africa hivi hivi maana wanajua akipelekwa baada ya kumaliza Form 6 hatokaa harudi nchini kwao tena
Zaidi nimeona watu walioifanyia serikali kazi tayari ndo wanaaminiwa mfano utakuta malecturers ndo wanapewa shavu la kwenda kusomeshwa nje tu kwa jina la kutumwa na chuo

Hivo basi mm nahisi LIMITING FACTOR ya kuwasomesha watu nje kama wadau walivyopendekeza sio kwamba eti nchi haina hela shida inakuja baada ya kuwasomesha hao wadau ni kweli watarudi tena KUIFANYIA KAZI NCHI YAO

hicho ndo kigezo kikubwa sana kinachozuia Bongo kutosomesha watu nje ya nchi na katka vyuo vikubwa huko ughaibuni

Tanzania Government knows to TRAIN but doesn't know how to RECRUIT
Hii sentesi ni Limiting Factor nyingine mfano unaweza Chukulia ule mgomo wa Madaktari wa juzi hapa Madaktari wa MOI walikuwa wanalalamika kuwa wamesomeshwa nje lkn wakirudi bongo vifaa hamna na hii kuifanya elimu waliyoipata kutokuwa na maana tena na walibainisha kuwa wengi wamechukua uamuzi wa kwenda kufanya kazi nje si tu kwa kigezo cha kulipwa vizuri bali kutumia UFAHAMU waliopata kipindi wanasoma ktk mahospitali yenye vifaa muhimu

Kumbe bado serikali itawasomesha watu wa Genetic engineering lkn watakuja hapa watakosa Funds kwa ajili ya kuendesha resarch kadhaa,watakosa vifaa na mazingira ya kufanyia kazi and Above all watalipwa hela ya NYANYA kitu ambacho kinawakimbiza wabongo wengi katika nchi yao

Serikali bado haijaweza kabisa kuwapromote wasomi wake waendelee kukaa humu humu Tanzania kabisa kumbe hata hizo scholarship zikianza leo au kesho limiting factors nilizozitaja hapo juu zitabaki kuwa kikwazo kwa Tanzania kuwa na Genetic engineers wa maana
 
Hapo kwenye RED ndipo viongozi wetu wanapo bore na borea huko mtu angekuwa anaenda kusoma course ambazo haziko Bongo ningewaelewa unakuta mtu anasoma MD wakati Pale Muhimbili kuna MD ambayo inashika kwa sasa Africa na ni kati ya vyuo bora sasa....naweza kukubaliana na wewe kuwa huku nikufikiria kwa kutumia ma*----

Kitu kingine nilichogundua hapa Tanzania mtu aendi kusomeshwa ughaibuni sana sana out Africa hivi hivi maana wanajua akipelekwa baada ya kumaliza Form 6 hatokaa harudi nchini kwao tena
Zaidi nimeona watu walioifanyia serikali kazi tayari ndo wanaaminiwa mfano utakuta malecturers ndo wanapewa shavu la kwenda kusomeshwa nje tu kwa jina la kutumwa na chuo

Hivo basi mm nahisi LIMITING FACTOR ya kuwasomesha watu nje kama wadau walivyopendekeza sio kwamba eti nchi haina hela shida inakuja baada ya kuwasomesha hao wadau ni kweli watarudi tena KUIFANYIA KAZI NCHI YAO

hicho ndo kigezo kikubwa sana kinachozuia Bongo kutosomesha watu nje ya nchi na katka vyuo vikubwa huko ughaibuni

Tanzania Government knows to TRAIN but doesn't know how to RECRUIT
Hii sentesi ni Limiting Factor nyingine mfano unaweza Chukulia ule mgomo wa Madaktari wa juzi hapa Madaktari wa MOI walikuwa wanalalamika kuwa wamesomeshwa nje lkn wakirudi bongo vifaa hamna na hii kuifanya elimu waliyoipata kutokuwa na maana tena na walibainisha kuwa wengi wamechukua uamuzi wa kwenda kufanya kazi nje si tu kwa kigezo cha kulipwa vizuri bali kutumia UFAHAMU waliopata kipindi wanasoma ktk mahospitali yenye vifaa muhimu

Kumbe bado serikali itawasomesha watu wa Genetic engineering lkn watakuja hapa watakosa Funds kwa ajili ya kuendesha resarch kadhaa,watakosa vifaa na mazingira ya kufanyia kazi and Above all watalipwa hela ya NYANYA kitu ambacho kinawakimbiza wabongo wengi katika nchi yao

Serikali bado haijaweza kabisa kuwapromote wasomi wake waendelee kukaa humu humu Tanzania kabisa kumbe hata hizo scholarship zikianza leo au kesho limiting factors nilizozitaja hapo juu zitabaki kuwa kikwazo kwa Tanzania kuwa na Genetic engineers wa maana


Mkuu uko clear san hapa lakin cha kwanza unatakiwa kujua gvnt yetu haina long term strage yyte about scienc

Nahayo unayoyaona hayaji as emergency, inatakiwa iwe ivyo maaana no strategy yyte.

Bongo kuna strategy za kumchafua mtu anayeziba ulaji wawakuu ova!.

Unajua uwezo wa makumu rais wako in science hasa mambo ya kinyukilia lakini si anaambulia kutembea na mkasi wa kukata utepe?

Maana yake apa nn wanasayansi hawana target sana tz yako. Tutaongea sana lakin wakubwa awataki jaman.
 
Mkuu uko clear san hapa lakin cha kwanza unatakiwa kujua gvnt yetu haina long term strategy yyte about scienc

Nahayo unayoyaona hayaji as emergency, inatakiwa iwe ivyo maaana no strategy yyte.

Bongo kuna strategy za kumchafua mtu anayeziba ulaji wawakuu ova!.

Unajua uwezo wa makamu rais wako in science hasa mambo ya kinyukilia lakini si anaambulia kutembea na mkasi wa kukata utepe?

Maana yake apa nn wanasayansi hawana target sana tz yako. Tutaongea sana lakin wakubwa awataki jaman.


Duuh!Kumbe makamu waraisi yuko poa katika Neclear rxns?

Au ni kama Mark mwandosia amabaye nasikia ni Bonge la Engineer tena upigisha Pindi hata Ughaibuni huko lkn naye akajitosa katika SIASA:angry:

Poor Him
Poor Tanzania
 
tanzania ipo mbona na inafanyika sana mfano ni AVRDC Arusha,wao wanacreate mbegu za mazao ya mboga kama nyanya mfano wametengeneza nyanya tengeru 97 ambayo imetengenezwa mwaka 1997,pia research ya horti Tengeru wanazalisha migomba kwa tissue culture yaan wanatumia tissue za migomba kutengeneza miche ya migomba.Wanascience wapo sema mpake uwatafute ndio utawaona ndg,remember you cant see if u aint trained to see
 
Duuh!Kumbe makamu waraisi yuko poa katika Neclear rxns?

Au ni kama Mark mwandosia amabaye nasikia ni Bonge la Engineer tena upigisha Pindi hata Ughaibuni huko lkn naye akajitosa katika SIASA:angry:

Poor Him
Poor Tanzania

Bongo
politics=Good life
 
Africa tumalizane na haya matatizo ya njaa na siasa.....
.
Na hizo teknolojia nyingine na dhani zinaweza kuwa sawa pindi kizazi chetu na tutakacho kiacha kutoweka.... Kama hivi vita vya wasio elimika na uasi kuisha......
.
Ad10101992St1Sz3055Sq105573123V0Id17.gif

.
.
 
Back
Top Bottom