Utengenezaji wa silaha za kivita duniani

maramojatu

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,173
1,539
WanaJF,
Natumai wote tupo poa.

Baada ya kutoka kanisani leo nimekuwa natafakari madhara ya vita vinavyoendelea sehemu mbalimbali duniani kama Ukraine, Sudan etc.

Naendelea kujifikirisha hapa kwa nini viongozi wetu wakubwa wa dunia kama Umoja wa Mataifa wasipige marufuku utengenezaji wa hizi silaha kali za kivita sababu lengo lake ni kwenda kinyume na afya ya binadamu.

Ebu fikiria unampa mtu chanjo au dawa ya kufubaza virusi vya UKIMWI halafu baada ya hapo unampa jirani yake silaha amuue. Sasa hapo tunaokoa nini?

Tupinge ukoloni huu wa kuua wenzetu.
Tuandae pia petition ya kupinga utengenezaji na uuzaji wa silaha duniani.

Hii itasaidia dunia kuwa sehemu salama ya kuishi.

Nawasilisha.
 
WanaJF,
Natumai wote tupo poa.
Baada ya kutoka kanisani leo nimekuwa natafakari madhara ya vita vinavyoendelea sehemu mbalimbali duniani kama Ukraine, Sudan etc.
Naendelea kujifikirisha hapa kwa nini viongozi wetu wakubwa wa dunia kama Umoja wa Mataifa wasipige marufuku utengenezaji wa hizi silaha kali za kivita sababu lengo lake ni kwenda kinyume na afya ya binadamu.
Ebu fikiria unampa mtu chanjo au dawa ya kufubaza virusi vya ukimwi halafu baada ya hapo unampa jirani yake silaha amuue. Sasa hapo tunaokoa nini?
Tupinge ukoloni huu wa kuua wenzetu.
Tuandae pia petition ya kupinga utengenezaji na uuzaji wa silaha duniani.
Hii itasaidia dunia kuwa sehemu salama ya kuishi.
Nawasilisha
Mbona wanapinga mpaka sahizi kama #nyukilia vile na ndo maana Korea kaskazini aliamua kujitoa maana haiwezekani mmarekani yeye atengeneze harafu wengine anawakatalia kutengeneza
 
USA wao ndio baba wa madhambi duniani
Anatengeneza silaha na kuwauzia watu wake kwanza wauwane
Obama alitaka apige marufuku wakamtuliza

Biashara ya silaha inawaingizia kipato kikubwa sana na usiponunua wanamfadhili jirani akutwange, na akili ikikukaa sawa unanunua kwao kwa lazima

Kwa mfano America mwaka 2021ndio majanga makubwa sana ya kufa kwa silaha zilitokea na waliojiuwa ndio wengi zaidi ya waliouwawa

Duniani madalali ndio wanaopanga biashara hizi na wanauza haswa

Makampuni yanawapa madalali kwa mfano miaka ya nyuma ile aibu iliyowakumba jirani zetu baada ya Wasomali wale pirates waliokuwa wanateka meli

Siku hiyo wametega wakainasa meli baada ya kuingia ndani wamekuta silaha kibao kuuliza wakasema inaelekea Kenya yaani mzigo wa Kenya
Kumbe silaha zilikuwa zinaelekea South Sudan kificho kupambana na waislam ( angalia wanavyochonganisha)

Sasa msomali yeye anataka hela tu

Yaani biashara hii haitaisha duniani maana ziko kama Sigara na Pombe sambamba
 
hao
Screenshot_20230521_122810_Chrome.jpg
 
Watengeneze tu Vyuma
Tena Mpk hapa Kwetu zije tununue Zaidi...
Dharau zitapungua sana... Coz ukizngua tu nakuweka
 
Najaribu tu kufikiria hii dunia ingekuwa salama kiasi gani kama kusingekuwa na hata bunduki au bomu inayotengenezwa na nchi yoyote.
Mm sio mwandish au msimuliaji mzuri lkn hii mada imenigusa kiasi flani na nimeipenda.

1. Ukiangalia bajet ya ulinzi pekee kwa mataifa mengi ni kubwa Kuliko bajet zote.
Yaan mataifa mengi yamekaa Tayari kwa kupigana vita muda wwt tu hakuna wanachowaza zaidi ya hicho.

Bajeti ya ulinzi ya Taifa kam America inaweza kulisha bara lote la Africa na tukasahau habari ya njaaa kabisa.

Hii inamaana kwamba muda na gharama za kufanya research kwenye silaha hatari na Ndege za kivita Kama ungetumika kwenye mambo mengine Kama Kilimo na elimu huu ulimwengu umgekuwa Kama Bustani ya Eden.

Jaribu tu kuvuta picha ya kifaru cha kivita.
Kama kifaru kingekuwa trekta la kulima hv kungekuwa na njaaa hapa duniani?
Vifaru vyote vigeuzwe matrekta ya kisasa na viingie mashambani nakuhakikishia ndani ya miaka mitatu tu njaaa yote duniani itaisha.

My point: Kama alivoeleza mtoa mada hapo juu hizi sihaha hazin faida kwa binadam zaidi ya kumwangamiza .Na zimelundikana Maelfu kwa maelfu . Ubinafsi na tamaaa iliyopitiliza ndio itayommaliza binadamu kwenye hii Sayari. Hakuna anayewaza kuhusu silaha za Nyuklia siku zitakapotumika na kuiangamiza dunia na vyote ndani yake.
Tunashabikia vita ya Urusi na Ukraine Bila kujua dunia iko kwenye hatari ya vita mbaya kuwahi kushuhudiwa kabisa (Nuclear war).

Dunia Bila silaha za hatari inawezekana japo ni ngumu kumeza Ila tunakaribia kulikoroga tukifa 3/4 ya hii dunia kwa vita ya nuclear
Watakaopata Bahati ya kupona akili itawakaa sawa na hawatahitaji hata mkuki Au bunduki kujilinda . Watachukia silaha na hawatazihitaji milele
 
Najaribu tu kufikiria hii dunia ingekuwa salama kiasi gani kama kusingekuwa na hata bunduki au bomu inayotengenezwa na nchi yoyote.
Mm sio mwandish au msimuliaji mzuri lkn hii mada imenigusa kiasi flani na nimeipenda.

1. Ukiangalia bajet ya ulinzi pekee kwa mataifa mengi ni kubwa Kuliko bajet zote.
Yaan mataifa mengi yamekaa Tayari kwa kupigana vita muda wwt tu hakuna wanachowaza zaidi ya hicho.

Bajeti ya ulinzi ya Taifa kam America inaweza kulisha bara lote la Africa na tukasahau habari ya njaaa kabisa.

Hii inamaana kwamba muda na gharama za kufanya research kwenye silaha hatari na Ndege za kivita Kama ungetumika kwenye mambo mengine Kama Kilimo na elimu huu ulimwengu umgekuwa Kama Bustani ya Eden.

Jaribu tu kuvuta picha ya kifaru cha kivita.
Kama kifaru kingekuwa trekta la kulima hv kungekuwa na njaaa hapa duniani?
Vifaru vyote vigeuzwe matrekta ya kisasa na viingie mashambani nakuhakikishia ndani ya miaka mitatu tu njaaa yote duniani itaisha.

My point: Kama alivoeleza mtoa mada hapo juu hizi sihaha hazin faida kwa binadam zaidi ya kumwangamiza .Na zimelundikana Maelfu kwa maelfu . Ubinafsi na tamaaa iliyopitiliza ndio itayommaliza binadamu kwenye hii Sayari. Hakuna anayewaza kuhusu silaha za Nyuklia siku zitakapotumika na kuiangamiza dunia na vyote ndani yake.
Tunashabikia vita ya Urusi na Ukraine Bila kujua dunia iko kwenye hatari ya vita mbaya kuwahi kushuhudiwa kabisa (Nuclear war).

Dunia Bila silaha za hatari inawezekana japo ni ngumu kumeza Ila tunakaribia kulikoroga tukifa 3/4 ya hii dunia kwa vita ya nuclear
Watakaopata Bahati ya kupona akili itawakaa sawa na hawatahitaji hata mkuki Au bunduki kujilinda . Watachukia silaha na hawatazihitaji milele
 
US ana nukes za kutosha, ni za nini ?
ila akitengeneza Iran na NK, UN(kivuli cha US) wanamwaga vikwazo bahari
 
Marekani anatamani Kila nchi iwe na vita inayoendelea ili wawauzie au kuwakopesha silaha, Kennedy alitaka kumaliza vita ya Vietnam, wauza silaha wa marekani wakaona bado hawajatengeneza faida ya kutosha wakaitumia CIA kumuondoa
 
Ukishajua Kwa nn upo duniani , na unatakiwa ufanye nn Kwa huo mda mfupi uliopewa , hutahangaika na hayo mambo , dunia sio sehemu salama ya kuishi mpak sku mwenye dunia atakapokuja , ieleweke wazi vita ni sehemu ndogo Tu ya chanzo cha kifo , zaidi ya watu milion 65 hufariki kila mwaka na Kati ya hao 80000 tuu ndo husababishwa na vita ulimwenguni kote...
 
Najaribu tu kufikiria hii dunia ingekuwa salama kiasi gani kama kusingekuwa na hata bunduki au bomu inayotengenezwa na nchi yoyote.
Mm sio mwandish au msimuliaji mzuri lkn hii mada imenigusa kiasi flani na nimeipenda.

1. Ukiangalia bajet ya ulinzi pekee kwa mataifa mengi ni kubwa Kuliko bajet zote.
Yaan mataifa mengi yamekaa Tayari kwa kupigana vita muda wwt tu hakuna wanachowaza zaidi ya hicho.

Bajeti ya ulinzi ya Taifa kam America inaweza kulisha bara lote la Africa na tukasahau habari ya njaaa kabisa.

Hii inamaana kwamba muda na gharama za kufanya research kwenye silaha hatari na Ndege za kivita Kama ungetumika kwenye mambo mengine Kama Kilimo na elimu huu ulimwengu umgekuwa Kama Bustani ya Eden.

Jaribu tu kuvuta picha ya kifaru cha kivita.
Kama kifaru kingekuwa trekta la kulima hv kungekuwa na njaaa hapa duniani?
Vifaru vyote vigeuzwe matrekta ya kisasa na viingie mashambani nakuhakikishia ndani ya miaka mitatu tu njaaa yote duniani itaisha.

My point: Kama alivoeleza mtoa mada hapo juu hizi sihaha hazin faida kwa binadam zaidi ya kumwangamiza .Na zimelundikana Maelfu kwa maelfu . Ubinafsi na tamaaa iliyopitiliza ndio itayommaliza binadamu kwenye hii Sayari. Hakuna anayewaza kuhusu silaha za Nyuklia siku zitakapotumika na kuiangamiza dunia na vyote ndani yake.
Tunashabikia vita ya Urusi na Ukraine Bila kujua dunia iko kwenye hatari ya vita mbaya kuwahi kushuhudiwa kabisa (Nuclear war).

Dunia Bila silaha za hatari inawezekana japo ni ngumu kumeza Ila tunakaribia kulikoroga tukifa 3/4 ya hii dunia kwa vita ya nuclear
Watakaopata Bahati ya kupona akili itawakaa sawa na hawatahitaji hata mkuki Au bunduki kujilinda . Watachukia silaha na hawatazihitaji milele
Hakuna Dunia bila silaha labda mbinguni, silaha ni ulinzi

Imagine wezi na majambazi wangeiba na kuua watu kila sekunde zaidi ya watu 100 ungesikia wameiliwa kwa siku na wezi, vibaka na majambazi kwasababu jeshi la polisi hawana silaha Nini kiwaogopeshe.

Imagine hapo kwako usiwe hata na panga wezi wataiba na kukuoiga makofi

Imagine nchi isiwe na silaha ingekuwa inainhikiwa na nchi nyengine au vikundi vya kiharifu tu kweupe vhukulia Malawi ilivyoanza mgogoro kwenye ziwa nyasa

Nchi kazima iwe na silaha kujilinda, majeshi, familia inabidi iwe hata na panga ndani, msela inabidi uwe na panga geto, mwanmke ukitembea Usiku uwe hata na kashoti kwa kumdhibiti mwizi

Dunia haitohitaji silaha mpaka pale kilamtu atapokuwa msafi Kama mtoto mchanga
 
Silaha zilianza kama ulinzi kujilinda na watu waovu, uvamizi, na wanyama wakali ilianza silaha za mawe, chuma mishale na mikuki, ikaja bastola, mabomu, ndege, nyambizi na nyuklia...kila teknolijia inavyokuwana silaha zinakuwa well advanced kwasababu silaha Kama ulinzi inabidi ujitahidi uwe na silaha Bora kuliko adui yako anayeweza kukushambulia

Mfano polisi mpaka leo wangekula wanatumia mapanga kufanya ulinzi waharifu wangekuwa na silaha Bora bunduki nk imagine level ya uharifu ingekuwaje
 
Hakuna Dunia bila silaha labda mbinguni, silaha ni ulinzi

Imagine wezi na majambazi wangeiba na kuua watu kila sekunde zaidi ya watu 100 ungesikia wameiliwa kwa siku na wezi, vibaka na majambazi kwasababu jeshi la polisi hawana silaha Nini kiwaogopeshe.

Imagine hapo kwako usiwe hata na panga wezi wataiba na kukuoiga makofi

Imagine nchi isiwe na silaha ingekuwa inainhikiwa na nchi nyengine au vikundi vya kiharifu tu kweupe vhukulia Malawi ilivyoanza mgogoro kwenye ziwa nyasa

Nchi kazima iwe na silaha kujilinda, majeshi, familia inabidi iwe hata na panga ndani, msela inabidi uwe na panga geto, mwanmke ukitembea Usiku uwe hata na kashoti kwa kumdhibiti mwizi

Dunia haitohitaji silaha mpaka pale kilamtu atapokuwa msafi Kama mtoto mchanga
Kwani binadamu hatuwezi kuishi bila kuwa wezi au wanyang'anyi wa kutumia silaha?
 
Back
Top Bottom