Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Habari WanaJF
Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.
Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka, Je kamati kuu ilikosa mtu makini wa kubeba jahazi? kamati mpya imefanya ziara mikoa mingi lakini muitikio wake ni mdogo vijana wote wamekimbia. Je hapa manajenga chama gani? Kama wazee ndo wamebaki CCM
sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu
Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.
Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka, Je kamati kuu ilikosa mtu makini wa kubeba jahazi? kamati mpya imefanya ziara mikoa mingi lakini muitikio wake ni mdogo vijana wote wamekimbia. Je hapa manajenga chama gani? Kama wazee ndo wamebaki CCM
sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu
Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM