Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
Wafanyakazi wa New Habari corporation wote mtawatambuwa kipindi hiki. hata gazeti la mtanzania liangalieni mtajuwa kwamba hawa watu maslahi yao yameshakwisha ccm, sasa wanaona aibu walisahau mwisho wa ubaya ni aibu.
..One time i agree with Matola, haupo mbali sana na ukweli.