UTEMI na UFISADI Kuimaliza CCM

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Habari WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka, Je kamati kuu ilikosa mtu makini wa kubeba jahazi? kamati mpya imefanya ziara mikoa mingi lakini muitikio wake ni mdogo vijana wote wamekimbia. Je hapa manajenga chama gani? Kama wazee ndo wamebaki CCM

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
 
wewe juzi ulikua uko tayari kula kinyesi kwa ajili ya jeikei... leo umehamia kempu yenye pesa unakuja kulalama,

please go and sort yoursleves out nyumbani, mkimaliza mje kusema mmemalizaje

acheni kuharibiana wenyewe kwa wenyewe... tatueni shida za wananchi, you have only four years remaining kutimiza ahadi laki moja na elfu hamsini mlizotupa
 
Habar WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM

hahaha!!

kila mahali vilio.
 
Habar WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM

Mpaka wameamuwa kumchaguwa Nape inamaanisha wanaelewa nini kinaendelea,cha msingi ni kusubiri na kujiandaa kukizika chama chetu kama viongozi wa juu hawatabadilika

Tatizo sio kujivua gamba kwa viongozi wakuu tu wa chama,bado tunamatatizo makubwa sana ktk Matawi na Kata zetu,kwani huko ndiko kwenye wanachama,lakini makatibu wa Kata na Matawi amabao ndio watendaji wakuu ktk maeneo hayo wamekuwa ni Wababe sana na walarushwa wakubwa na hao ndio waliosababisha Madukuduku kwa wanachama waliowengi na sina hakika kama hayo yataisha leo ama kesho

Makatibu hao wamekuwa na desturi ya kuchagua viongozi wawatakao wao ili wawasaidie ktk kampeni wao wanaita KUPANGA SAFU,na hili linakuja kinyume ama tofauti na matakwa ya wanachama,

kama tusipo badilika kutoka chini hata kama huku juu tutaweka Almasi hakuna kitu kitakacho fanyika

Hta CDM nawashauri wakitaka hii nchi ni lazima waimalishe Matawi ya Chama chao,wajue na kutambuwa nini wanachama ktk matawi wanataka na hii malanyingi ni lazima ujitolee kwa moyo wa kiutendaji na uingie gharama ili kukiweka chama chochote kile kuwa imara
 
Habar WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM

hapo kwenye nyekundu mkuu pagumu sana..
 
Habar WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM

Pole mkuu,
Najua una maumivu makuu na hongera kwa kuwa una nguvu sana kuendelea kuchangamana na watu wezi,wazushi,wasio na chembe ya huruma kwa ndugu zao watanzania.
Pili,nakuonea huruma kwani mbele ya mboni zako kuna giza nene na umeshindwa hata kutafakari kauli zilizotolewa na wazee wachama JK Nyerere aliyesema chama hicho kina kansa ya uongozi,ndugu chama unachokililia kina kansa ya damu ni STAGE IV kwa sisi tulio katika fani wa afya stage hii tunasema hakuna tiba zaidi ni ushauri na kupunguza mumivu ili asili ichukue nafasi yake(kifo kichukue nafasi yake), we just let the nature to take its course.
 
Habari WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka, Je kamati kuu ilikosa mtu makini wa kubeba jahazi? kamati mpya imefanya ziara mikoa mingi lakini muitikio wake ni mdogo vijana wote wamekimbia. Je hapa manajenga chama gani? Kama wazee ndo wamebaki CCM

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Mliligundua hili kabla ya kumchagua au baada ya kumchagua???? Chama Cha Magamba banaaa
 
Mnapochagua wastaafu mnategemea vijana watawaunga mkono Katibu wenu hana hata mvuto wa kisiasa Makamba alikuwa mropokaji lakini alikuwa na mvuto kwa kundi la wanawake kwa hali hii mjiandae kuwapoteza vijana na kinamama.

wilson-mkama.jpg
.........
images
 
Ustaadhi JeyKey yamekusibu yapi tena!

Leo nawe waona uoza wa chama chako, kweli maajabu hayatakoma siku zote.
 
Mnapochagua wastaafu mnategemea vijana watawaunga mkono Katibu wenu hana hata mvuto wa kisiasa Makamba alikuwa mropokaji lakini alikuwa na mvuto kwa kundi la wanawake kwa hali hii mjiandae kuwapoteza vijana na kinamama.

wilson-mkama.jpg
.........
images

lakuvunda....
 
Mnapochagua wastaafu mnategemea vijana watawaunga mkono Katibu wenu hana hata mvuto wa kisiasa Makamba alikuwa mropokaji lakini alikuwa na mvuto kwa kundi la wanawake kwa hali hii mjiandae kuwapoteza vijana na kinamama.

wilson-mkama.jpg
.........
images

Hivi kulikuwa na sababu gani ya kuchukua mstaafu wakati mna makada wengi tu chamani? hawa wangebaki katika baraza la ushauri..
 
Wafanyakazi wa New Habari corporation wote mtawatambuwa kipindi hiki. hata gazeti la mtanzania liangalieni mtajuwa kwamba hawa watu maslahi yao yameshakwisha ccm, sasa wanaona aibu walisahau mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Hivi kulikuwa na sababu gani ya kuchukua mstaafu wakati mna makada wengi tu chamani? hawa wangebaki katika baraza la ushauri..
Nasikia siku hizi anaitwa mzee wa UWANJA wa Helkopita kwa upara wake

wilson-mkama.jpg
 
Habari WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka, Je kamati kuu ilikosa mtu makini wa kubeba jahazi? kamati mpya imefanya ziara mikoa mingi lakini muitikio wake ni mdogo vijana wote wamekimbia. Je hapa manajenga chama gani? Kama wazee ndo wamebaki CCM

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Kweli mapacha (RACHEL) walipandikiza watu humu jukwaani!!!!! Threads/ posts za siku hizi za Jeykey / Malaria Sugu zinadhihirisha. they seem to be u-turning.
 
Kweli mapacha (RACHEL) walipandikiza watu humu jukwaani!!!!! Threads/ posts za siku hizi za Jeykey / Malaria Sugu zinadhihirisha. they seem to be u-turning.
Hujui kuwa jeykey ndiye MS jana MS kala ban leo anatumia ID hii kwa hiyo unapoona jeykey na MS wamebadilika usifikiri ni watu wawili tofauti.
 
Habari WanaJF

Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm
kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia kwa sababu ya utemi na ufisadi.

Kamati kuu imefanya maamuzi yake na kumchagua nape ambaye ni mchanga katika siasa za tanzania na kuishia kuropoka kila wakati, mambo mengine sio ya kuropoka lakini yeye anatumia jukwaa kuropoka, Je kamati kuu ilikosa mtu makini wa kubeba jahazi? kamati mpya imefanya ziara mikoa mingi lakini muitikio wake ni mdogo vijana wote wamekimbia. Je hapa manajenga chama gani? Kama wazee ndo wamebaki CCM

sisi wanachama wadogo tunauzunika sana mana tulikuwa tunafikiri tumepata nafuu ccm inajivua gamba lakini sasa ni kinyume, wameshidwa kuwafukuza mafisadi maana wanawajua kwa majina. Wanachama tunakililia chama chetu

Rais tunaomba uwasikilize wanachama wako chama kinaangamia, hakina mvuto tena kwa sura ya watanzania

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM

Nashindwa kukuonea huruma wewe na chama chake fidhuli.

BTW, hiyo avatar yako inazaa swali....kwa sasa nani anatawala ulimwengu?
 
Back
Top Bottom