Imeoneshwa kule x video inayozubguka mitandaoni majitu kama sita hivi yakimzingira nakumbeba jujuu mtu mmoja na kumuingiza kwenye gari rangi nyeupe na kutokomea naye huko yanakowapeleka wengine.
Mshangao ;
1. Tukio lometokea mchana kweupe
2. Kulikuwepo watu waliokuwa wanatazama na kurecord tukio zima bila hata kuhoji watekaji.
Niseme tu wabongo sisi ni makondoo