Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Ntawapa maisha , First Lady , Maria Rose , Preta na wengine wengi tuuuuuuuuu !
Kuna usemi unakwenda hivi:
Kwa jinsi hii utamaliza kontena la pesa na mb** kuwa butu kama tindo ya kuchongea mawe!
Ntawapa maisha , First Lady , Maria Rose , Preta na wengine wengi tuuuuuuuuu !
Nchi yako ni nchi gani ?hukuitaja hapa
Kama kwa bahati nzuri Mungu akakupa PESA zote hizi hapa. Je utazifanyia matumizi gani ???
Ntawapa maisha , First Lady , Maria Rose , Preta na wengine wengi tuuuuuuuuu !
Unajuwa uhusiano wa Waarabu na wanyamwezi unaanzia na kuishia wapi?......teh! teh! teh!....!!!Nitaenda kuowa dada yake mtani wangu Junius. Nina imani Junius hataniona nina Kichaa kama ambavyo ameanza kuamini.
Nitajenga Viwanda mijini na Vijijini ,Mashule pamoja vyuo vikuu ya Sayansi na Teknolojia Vijijini, Mahospital vijijini , Viwanda ili watu wapate kazi,Shule na vyuo Vikuu ili tuwe na watalaam wengi wa kutosha Mahospitali ili tupunguze msongamano wa watu kukimbilia Mahospitali ya mijini haya mnasemaje mawazo yangu?:llama:Kama kwa bahati nzuri Mungu akakupa PESA zote hizi hapa. Je utazifanyia matumizi gani ???
Hizi pesa tukizipata sisi wabantu hakyaanani ni kuoa kila kukicha hadi zitatuua kama sio kuwa kichaa!!