Mentor umeona shemeji mie siungi..? Mbona wamkabidhi Vin Diesel mai waifu wangu jamani..?
Aiseeee mie simuelewi kabisa huyu Mentor.. Halafu anajua kabisa mie ndo shemeji yake wa halali..
Hujambo lakin shem wangu
Nimeangalia video inayoonyesha maojiano ya baba mzazi wa Emmanuel,pamoja na video ya maojiano yake mwenyewe mbasha,
Kama wanayosema,ni ukweli mtupu,namshauri aachane na Frola,aangalie maisha yake,nenda mahakamani kaka vunja ndoa,endelea na maisha yako,mkeo wa ndoa akutaki,mke kakomba kila kitu nyumbani kwenu,kuanzia vikombe vya chai mpaka hati za nyumba na viwanja,amefanya yote hayo ukiwa jera,hata jera hakuja hata kukujuria hari,najua unampenda sana kama unavyojiereza kwenye mahojiano yako uliyofanya na grobal tv,do not be naive bro! huyo mwanamke hakupendi tena,ameisha chepuka,hayupo nawe kihisia tena,
Nayasema haya sio kwasababu namchukia Frola,huo ndio ualisia wa mambo,naijua ndoa vizuri tu,mambo yakisha fika hapo ni bora kuachana tu,kila mtu aangalie mambo yake,ulikuja duniani peke yako,utaondoka peke yako,
Binadamu kaumbwa kwa mfano wa MUNGU,ukuumbwa kuteseka hapa duniani,change your mindset,songa mbele,
kaa nae mbali kabisa, "WHERE EYES CAN NOT SEE,HEART CAN NOT FEEL"
hawa watu siwajui.kwani wamefanyaje?au ni wale wameficha hela uswisi?
Musoma
ndo nimezaliwa mkuu...loading errorUmetoka jela lini?
Nionavyo tatizo la hawa wawili kwa kiasi kikubwa limeletwa na mafanikio waliyoyapata bila kutegemea, pili tatizo lingine ni kuwa walioana wakati hawajaelewa kwa upana maisha ya ndoa, jambo lingine ni kuwa kwa watu ambao hujificha kwenye kivuli cha ulokole na kuhadaa watu kuwa wao ni wa kiroho hayo waliyo yapata ndiyo fimbo itokayo juu, hawa wawili wanahitaji sana kwanza kumjua Mungu, maana inaonyesha wana matatizo makubwa ya kiroho, yanayowafanya wakose hekima iwapasayo kuishi kama watumishi wa Mungu.Wana MMU kama tulivyosikia na kusoma; ndoa ya Flora na Emma imetikiswa sana.
Na kama jambo hili likibainika kweli katika jicho la kisheria basi ni dhahiri ndoa hii itasinyaa sana.
Mimi nashauri jambo hili lipate suluhu ya kifamilia zaidi hasa ukizangatia kwamba wawili hawa wamelalamikiana na kutengana kwa muda (kila mtu na lake) na bado haikuwasaidia sana.
Hebu fikiria umeitwa katika kuwapatanisha hawa wanandoa ni nini ushauri wako.
Mods; naomba hii safu isiunganishwe na safu nyingine ili ushauri utakaotolewa hapa iwe ni rahisi kuupata. Nawasilisha.