Utawasuluhishaje Flora na Ema Mbasha?

Utawasuluhishaje Flora na Ema Mbasha?

Chizi Fureshi

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
1,718
Reaction score
462
Wana MMU kama tulivyosikia na kusoma; ndoa ya Flora na Emma imetikiswa sana.

Na kama jambo hili likibainika kweli katika jicho la kisheria basi ni dhahiri ndoa hii itasinyaa sana.

Mimi nashauri jambo hili lipate suluhu ya kifamilia zaidi hasa ukizangatia kwamba wawili hawa wamelalamikiana na kutengana kwa muda (kila mtu na lake) na bado haikuwasaidia sana.

Hebu fikiria umeitwa katika kuwapatanisha hawa wanandoa ni nini ushauri wako.

Mods; naomba hii safu isiunganishwe na safu nyingine ili ushauri utakaotolewa hapa iwe ni rahisi kuupata. Nawasilisha.
 
Ndoa ya watu we inakuhusu nini? yako mwenyewe yanakushinda ukasuluhishe ya wenzio...toa libanzi lako la jicho ndo ukamtoe mwenzio...umbea tu!!!
 
Ndoa ya watu we inakuhusu nini? yako mwenyewe yanakushinda ukasuluhishe ya wenzio...toa libanzi lako la jicho ndo ukamtoe mwenzio...umbea tu!!!

Tunao wengi tu katika jamii, lete ushauri watu waelimike bana.
 
nitawafungia chumbani siku tatu na kupitisha chakula kwenye kitundu kidogo..i'm sure wata do tu, na hapo watakuwa wameshapatana.
hmm mwenzangu leo akili ya usiku imezidi macho kha!!! unatema moto hatari
 
wewe ndiyo Emma au Flora Mbasha?
Wana MMU kama tulivyosikia na kusoma; ndoa ya Flora na Emma imetikiswa sana. Na kama jambo hili likibainika kweli katika jicho la kisheria basi ni dhahiri ndoa hii itasinyaa sana. Mimi nashauri jambo hili lipate suluhu ya kifamilia zaidi hasa ukizangatia kwamba wawili hawa wamelalamikiana na kutengana kwa muda (kila mtu na lake) na bado haikuwasaidia sana. Hebu fikiria umeitwa katika kuwapatanisha hawa wanandoa ni nini ushauri wako.

Mods; naomba hii safu isiunganishwe na safu nyingine ili ushauri utakaotolewa hapa iwe ni rahisi kuupata. Nawasilisha.
 
hawa ndugu zanguu nawafahamu vizuri na.nilipata kuwa rafiki yao wa karibu...
ofcoz Imma/flora Mbasha walkuwa bado wanafanya ujana ingawa UOKOVU ilikua ni geresha la kuwaibia wajinga kutokana na aina ya kazi yao...

na kwa necha yao hawataweza kudumu kwa mrefu.. nawafahamu wooote nao wananifahamuu.. kwa ufupi; HAWAJATULIA hasa mme mtu
 
hahahahhahah kusutwa suna
 

Attachments

  • 1401396752935.jpg
    1401396752935.jpg
    16.1 KB · Views: 904
Back
Top Bottom