Utawala Wa Kisultani Chini ya Kikwete Na CCM !

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Rais Kikwete ameigeuza Tanzania kuwa nchi ya Kisultani ambayo watoto wa wenye madaraka kuzidi kupewa nafasi kubwa katika serikali na Chama. Rais Kikwete ndiye kiongozi mkuu wa nchi, ila kila mtu katika family yake ni kama Rais.

Mama Salma anapewa heshima kama Rais, na hata anakopita magari yote usimamishwa. Ridhiwani anafanya teuzi nyingi sana ndani ya serikali ambako marafiki zake upewa nafasi nyeti na kubwa.Ukimuudhi Ridhiwani utapata matatizo katika ndoa yako na hata ajira ipotee. Vile vile, kwa mara ya kwanza katiak historia ya Tanzania, Rais, Mkewe, na mwanaye wana nyadhifa za juu kwenye uongozi wa Chama

Watawala na familia zao wananeemeka chini ya Kikwete. Kwa mfano familia ya Kairuki. Mbelwa chini ya miaka mitatu ametoka kuwa mwandishi wa hotuba hadi ubalozi na ukurugenzi Mambo ya nje. ni wanagapi wako Foreign miaka zaidi ya 20 na bado hawajapata hata naibu ukurugenzi?

Mkewe Mbelwa Angela Kairuki kapewa ubunge na hatimaye kuteuliwa naibu waziri na mbunge. Mdogo wake Mbelwa ni mkurugenzi mkuu pale TIC. Ukienda BOT mambo siyo mambo. Watoto wa vigogo wako kila sehemu. Ukienda kwenye balozi zetu ni watoto wa wakubwa kwenye balozi hasa za ulaya. Huu ni mfano tu; Watoto Wa Vigogo BoT

1. 1. Salama Ali Hassan Mwinyi, 2. Filbert Tluway Sumaye, 3. Zaria Rashidi Kawawa, 4. Blasia William Mkapa,
5. Harriet Matern Lumbanga, 6. Pamela Edward Lowassa, 7. Rachel Muganda, 8. Salma Omar Mahita,
9. Justina Mungai, 10. Kenneth Nchimbi, 11. Violet Philemon Luhanjo, 12. Liku Kate Kamba, 13. Thomas Mongella na
14. Jabir Abdallah Kigoda.


Watoto wa wakulima tukilalamika tunaambiwa twende shule ili tupate nafasi kama hizo, jamani haki hiko wapi? Kama siyo usultani ni nini.
 
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
Kama wana sifa kwanini wasipewe? Kulalamika hakutakusaidia wewe. Nenda shule

hahaha radhia sweety unauhakika hajaenda shule? ok hata akienda niwangapi tunawaona na wako na performance nzuri tu lakini tia mchuzi pangu pakavu!
 
Kwa hiyo watoto wa wanasiasa ndio wana sifa, au siyo?!!
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]

Mheshimiwa hiroshima inawezekana dada yetu radhia ni mmoja wa hao wateule, anyway mfumo wenyewe ndivyo ulivyo panahitajika mabadiliko hali ni mbaya
 
Hivi BOT kuna wafanyakazi hao 14 tu? kama wapo wengine je? hao 14 ni asilimia ngapi? na waliobaki ni watoto wa kutoka jamii gani? Kutaja majina haitoshi hao 14 nyadhifa zao BOT ni zipi? Taasisi zipi hazina watoto wa wanasiasa na je? wanasiasa si sehemu ya jamii hawaruhusiwi kuajiriwa serikalini?
 
Maajabu ya bongo;
2 former presidennts(mkapa + mwinyi)
3 former prime ministers(lowassa,sumaye + kawawa)

Watoto wao wako taasisi moja!kwa nini wasiwe crdb,stanbic ,nmb au nbc?

Ukiona akina mkapa,mwinyi wanaimba amani na utulivu wanamaana ya kuwa muache watoto + wajukuu zao waendelee kupata ajira kama hizi milele.this has to stop
 
Hii fikra ilianzishwa na wakubwa kwa kujitia tuwaenzi watoto wa Wana Mapinduzi haaa Kule Zanzibar. Watoto wa Aboud Jumbe 3 wote Wakurugenzi, Watoto wa Kisasi mmoja alikuwa Mbunge na mwengine ni Naibu Waziri, Mtoto wa Thabit Kombo alikuwa Waziri, Mtoto wa Mwinyi Mwakilishi, Mtoto wa Bakari Jabu ni Mbunge na wengi tu
 
Mkuu maisha yamekugonga umekaa kutuletea umbea wako humu unajua utawala wa kisultani hizo buku mbili unazolipa kupost uongo ndiyo kitanzi chako.
 
[JFMP3][/JFMP3]

Mheshimiwa hiroshima inawezekana dada yetu radhia ni mmoja wa hao wateule, anyway mfumo wenyewe ndivyo ulivyo panahitajika mabadiliko hali ni mbaya
Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa kwa vile we mtoto wa slaa ndiyo maana ukapewa nafasi bavicha au unalenga kusema nini.
 
Kama wana sifa kwanini wasipewe? Kulalamika hakutakusaidia wewe. Nenda shule

acha ujinga wewe! Haya Maccm yanagawa vyeo bila kuangalia weledi coz wako wengi wenye first class degree wako mtaani na wazee wa gentlemen wapo Bot
 
Rais Kikwete ameigeuza Tanzania kuwa nchi ya Kisultani ambayo watoto wa wenye madaraka kuzidi kupewa nafasi kubwa katika serikali na Chama. Rais Kikwete ndiye kiongozi mkuu wa nchi, ila kila mtu katika family yake ni kama Rais.

Mama Salma anapewa heshima kama Rais, na hata anakopita magari yote usimamishwa. Ridhiwani anafanya teuzi nyingi sana ndani ya serikali ambako marafiki zake upewa nafasi nyeti na kubwa.Ukimuudhi Ridhiwani utapata matatizo katika ndoa yako na hata ajira ipotee. Vile vile, kwa mara ya kwanza katiak historia ya Tanzania, Rais, Mkewe, na mwanaye wana nyadhifa za juu kwenye uongozi wa Chama

Watawala na familia zao wananeemeka chini ya Kikwete. Kwa mfano familia ya Kairuki. Mbelwa chini ya miaka mitatu ametoka kuwa mwandishi wa hotuba hadi ubalozi na ukurugenzi Mambo ya nje. ni wanagapi wako Foreign miaka zaidi ya 20 na bado hawajapata hata naibu ukurugenzi?

Mkewe Mbelwa Angela Kairuki kapewa ubunge na hatimaye kuteuliwa naibu waziri na mbunge. Mdogo wake Mbelwa ni mkurugenzi mkuu pale TIC. Ukienda BOT mambo siyo mambo. Watoto wa vigogo wako kila sehemu. Ukienda kwenye balozi zetu ni watoto wa wakubwa kwenye balozi hasa za ulaya. Huu ni mfano tu; Watoto Wa Vigogo BoT

1. 1. Salama Ali Hassan Mwinyi, 2. Filbert Tluway Sumaye, 3. Zaria Rashidi Kawawa, 4. Blasia William Mkapa,
5. Harriet Matern Lumbanga, 6. Pamela Edward Lowassa, 7. Rachel Muganda, 8. Salma Omar Mahita,
9. Justina Mungai, 10. Kenneth Nchimbi, 11. Violet Philemon Luhanjo, 12. Liku Kate Kamba, 13. Thomas Mongella na
14. Jabir Abdallah Kigoda.

Watoto wa wakulima tukilalamika tunaambiwa twende shule ili tupate nafasi kama hizo, jamani haki hiko wapi? Kama siyo usultani ni nini.

Umesahau Slaa kamweka Josefina Ofisini chadema kusimamia mambo ya mapato na matumizi yote, eti ni mtaalaam wa "software" za aina hiyo. Huyo ndio bado hana madaraka Serikalini ana mweka hawara ofisini tena wazi wazi na anatumia fedha za chama kusafiri nae.
 
Rais Kikwete ameigeuza Tanzania kuwa nchi ya Kisultani ambayo watoto wa wenye madaraka kuzidi kupewa nafasi kubwa katika serikali na Chama. Rais Kikwete ndiye kiongozi mkuu wa nchi, ila kila mtu katika family yake ni kama Rais.

Mama Salma anapewa heshima kama Rais, na hata anakopita magari yote usimamishwa. Ridhiwani anafanya teuzi nyingi sana ndani ya serikali ambako marafiki zake upewa nafasi nyeti na kubwa.Ukimuudhi Ridhiwani utapata matatizo katika ndoa yako na hata ajira ipotee. Vile vile, kwa mara ya kwanza katiak historia ya Tanzania, Rais, Mkewe, na mwanaye wana nyadhifa za juu kwenye uongozi wa Chama

Watawala na familia zao wananeemeka chini ya Kikwete. Kwa mfano familia ya Kairuki. Mbelwa chini ya miaka mitatu ametoka kuwa mwandishi wa hotuba hadi ubalozi na ukurugenzi Mambo ya nje. ni wanagapi wako Foreign miaka zaidi ya 20 na bado hawajapata hata naibu ukurugenzi?

Mkewe Mbelwa Angela Kairuki kapewa ubunge na hatimaye kuteuliwa naibu waziri na mbunge. Mdogo wake Mbelwa ni mkurugenzi mkuu pale TIC. Ukienda BOT mambo siyo mambo. Watoto wa vigogo wako kila sehemu. Ukienda kwenye balozi zetu ni watoto wa wakubwa kwenye balozi hasa za ulaya. Huu ni mfano tu; Watoto Wa Vigogo BoT

1. 1. Salama Ali Hassan Mwinyi, 2. Filbert Tluway Sumaye, 3. Zaria Rashidi Kawawa, 4. Blasia William Mkapa,
5. Harriet Matern Lumbanga, 6. Pamela Edward Lowassa, 7. Rachel Muganda, 8. Salma Omar Mahita,
9. Justina Mungai, 10. Kenneth Nchimbi, 11. Violet Philemon Luhanjo, 12. Liku Kate Kamba, 13. Thomas Mongella na
14. Jabir Abdallah Kigoda.

Watoto wa wakulima tukilalamika tunaambiwa twende shule ili tupate nafasi kama hizo, jamani haki hiko wapi? Kama siyo usultani ni nini.
Bora hata ya jk unajua kuwa chadema wameweka mpaka hawala zao kwenye viti maalu na udiwani mfano rose kamili suku na paleso-hawala wa slaa,esther matiku -hawala wa mbowe,lisu kapeleka dada yake ambaye ni cristina lisu,ndesambulo kaweka binti yake ukipinga ntakuwekea nyumba ndogo zaidi za hawa watu wako.
 
hivi vitu ni vya kawaida kabisa kwa Nchi yetu, iko haja ya kutafuta suluhisho
 
Back
Top Bottom