mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 547
- 393
Salaam zenu wanaJF,
Historia inatufundisha hakuna utawala hatr na wa kutisha kama wa firaun lakini bado watu wake hawakuandamana walisubir mpaka pale muumba wao alipowanusuru
Unajua kwasabb gani?
1. Waliamini yupo aliowaumba ipo siku atawanusuru
2. Nguvu yao ndogo hawawezi kupigana na mtawala ambaye ni firauni
Hivyo vijana wkt unaandaa mapigano lazima ujiulize unapigana kwa ajili ya nani na nguvu yako ikoje la sivyo mtakwisha vijana na lile mnalolikusudia msilipate kabisa.
Historia inatufundisha hakuna utawala hatr na wa kutisha kama wa firaun lakini bado watu wake hawakuandamana walisubir mpaka pale muumba wao alipowanusuru
Unajua kwasabb gani?
1. Waliamini yupo aliowaumba ipo siku atawanusuru
2. Nguvu yao ndogo hawawezi kupigana na mtawala ambaye ni firauni
Hivyo vijana wkt unaandaa mapigano lazima ujiulize unapigana kwa ajili ya nani na nguvu yako ikoje la sivyo mtakwisha vijana na lile mnalolikusudia msilipate kabisa.