Jamani kama ni huu mfumo umeanza kitambo kwa wenzetu wa nje na wengi wameshahofu sana kwamba madishi yanaenda kuisha kazi sivyo kabisa hata king`amuzi cha Zuku kwenye dish kubwa kinakamata na hapo nadhani kitu kitakachotokea ni kwa owners wa hizi local channels pale watakapo kuwa wamezuia channels zao kupitia hayo masafa. Sasa kweli tusione hata free channels za nje! Najua wazungu hawana uroho kama tulivyo. Yaani ukokote channels zote kwenda sijui wapi huko wanakosema. Wanatishia tu ili wanunue bidhaa zao. Hata zile analog antennas mpaka sasa hivi zinafanya labda wazuie hizo.