Utatambuaje kama TV yako ni ya Digital?

Jamani kama ni huu mfumo umeanza kitambo kwa wenzetu wa nje na wengi wameshahofu sana kwamba madishi yanaenda kuisha kazi sivyo kabisa hata king`amuzi cha Zuku kwenye dish kubwa kinakamata na hapo nadhani kitu kitakachotokea ni kwa owners wa hizi local channels pale watakapo kuwa wamezuia channels zao kupitia hayo masafa. Sasa kweli tusione hata free channels za nje! Najua wazungu hawana uroho kama tulivyo. Yaani ukokote channels zote kwenda sijui wapi huko wanakosema. Wanatishia tu ili wanunue bidhaa zao. Hata zile analog antennas mpaka sasa hivi zinafanya labda wazuie hizo.

sasa hivi tcra wamesema local channel zote lazima ziwekwe kwenye hao kina startimes na wenzie so usiogope..
 
Mi bado nachanganyikiwa tu mbona mi nina flat LCD screen tv natumia king'amuzi? au sio digital?
 
Kumbuka kama haina pa kuweka kadi hajalishi ni slim au zenye utumbo bado itakuwa ni analogue tv. star times wanauza digital tv zenye utumbo na zile flat ambazo hauhitaji king'amuzi. Jiulize swali rahisi,kwanini watu wengine wana LCD ama DLP tvs na bado wanatumia king'amuzi? Na tukae tukijua kuwa hata zenye utumbo zipo digital pia.
 
Back
Top Bottom