Utata

Hamna limitations tena dearest....siri za vyumbani nazo zinaanikwa barazanii!!

Mzima lakini?
Mambo liz umesalimika na mabomu ya Arusha leo ? nilikuwa na hofu juu yako.Mazungumzo ambayo hayakuhusishi wewe inabidi uyaache hapohapo ulipoyasikia ni kosa kama kupiga chabo,watu hawataki kuwapa privacy wenzao.Halafu hili la ukabila nitapambana nalo mpaka waelewe watu.
 
sasa hivi hata yanayozungumzwa kitandani....jinsi mtu anavyoona sifa kutoka nje ya ndoa yote yanawekwa hapa....kazi kwetu kujadili.....:A S 13::A S 13:

Michelle unaonekana una busara sana, nimeona nikupongeze tu ningetamani hata kukuona kama upo uwezekano.
 
si yetu kazi kusoma na kujadili tu hakuna la ziada....ukichoka unasepa kimoja!

mimi mzima,kweli nina m-miss Hashy.....akirudi nikiwa sipo mwambie nilim-miss sana!!!

Mhuuuu!!!
Mhh unaenda wapi tena mpaka mchumba akija akukose?
 
Mambo liz umesalimika na mabomu ya Arusha leo ? nilikuwa na hofu juu yako.Mazungumzo ambayo hayakuhusishi wewe inabidi uyaache hapohapo ulipoyasikia ni kosa kama kupiga chabo,watu hawataki kuwapa privacy wenzao.Halafu hili la ukabila nitapambana nalo mpaka waelewe watu.

Mi mzima....mbona sijasikia hiyo ishu ya mabomu!!:A S 13:Huku UngaLTD habari zinachelewa kufika!!!

Yaaani wananiboa hawa watu na ishu za makabila!!Alafu hata siku moja huwezi kukuta wanachambua yakwao...
 
habari wana jf
Leo nilikuwa mahali napata chakula cha mchana,ghafla wakaingia wadada wawili,tukasalimiana vizuri tu,baada yahapo kila mmoja akaendelea na makulaji yake,sasa wakawa wanapiga story za kabila la kichaga hasa upande wa wanaume,kati yao akawa anawaponda sana wanaume kwa kusema ooh mimi hata nikipata mchumba wa kichaga hata kama ana hela kiasi gani sikubali kuolewa nae,wana roho mbaya sana,mwenzake naye akaongezea akasema hata wamasai na wagogo wako hivyo.mi nikasepa nikawaacha wanaendelea na story zao.
wana jf hawa wadada wako sawa au?
nawasilisha!:A S 112:

Join Date : 16th November 2010
Posts : 50
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 21

Kwa hii sredi kweli wastahili
Tangu mi sijazaliwa, duuuh
 
Sasa umewakilisha nini ? uelewa wako finyu,ukabila, au dhana potofu.Halafu ubahili wa wanaume wa Kichagga we utakudhuru vipi ? we si mwanaume au nawe unataka kuolewa.

taratibu kaka!! angalia ucmtoe damu.
 
Back
Top Bottom