Mambo liz umesalimika na mabomu ya Arusha leo ? nilikuwa na hofu juu yako.Mazungumzo ambayo hayakuhusishi wewe inabidi uyaache hapohapo ulipoyasikia ni kosa kama kupiga chabo,watu hawataki kuwapa privacy wenzao.Halafu hili la ukabila nitapambana nalo mpaka waelewe watu.Hamna limitations tena dearest....siri za vyumbani nazo zinaanikwa barazanii!!
Mzima lakini?