zungu santana
Member
- Oct 14, 2014
- 23
- 18
MUHIMU.................................jaman hili la kuhakiki majina ni muhimu sana kuliko tunavofikiri maana nilikuwa ofisi cha chama chetu hapa singida mjini ukweli nimefarijika sana na jinsi walivojipanga.
kuna kata ya utemini ambayo waliojiandikisha ni 5267 ila majina yaliyoko kwenye kitabu ni 2460 sasa angalia tofauti ni 2807 majina hayapo hali kama hii unategemea nini?
pili kwa maelekezo ya tume na tangazo lao yanasema kila kata kutakuwa na BVR kwa ajili ya marekebisho mbona hakuna kitu kama hicho.
sasa hii ni kata moja tu katika mji wa singida mjini na kuna kata 17 je ni majina mangapi ambayo hayapo kwenye daftari la.mpiga.kura?????
je kwa taifa zima hali.itakuwaje au ndo goli la mkono hili????bila kuchelewa kwa pamoja tulifanyie kazi katika maeneo yetu kuzuia goli la mkono.
niwatakie uchaguzi mwema na wakati.mkiendelea kutafakari haya.
SAMBAZA UJUMBE HUU KADRI UWEZAVYO
kuna kata ya utemini ambayo waliojiandikisha ni 5267 ila majina yaliyoko kwenye kitabu ni 2460 sasa angalia tofauti ni 2807 majina hayapo hali kama hii unategemea nini?
pili kwa maelekezo ya tume na tangazo lao yanasema kila kata kutakuwa na BVR kwa ajili ya marekebisho mbona hakuna kitu kama hicho.
sasa hii ni kata moja tu katika mji wa singida mjini na kuna kata 17 je ni majina mangapi ambayo hayapo kwenye daftari la.mpiga.kura?????
je kwa taifa zima hali.itakuwaje au ndo goli la mkono hili????bila kuchelewa kwa pamoja tulifanyie kazi katika maeneo yetu kuzuia goli la mkono.
niwatakie uchaguzi mwema na wakati.mkiendelea kutafakari haya.
SAMBAZA UJUMBE HUU KADRI UWEZAVYO