sayi_bugise
Member
- Jan 20, 2017
- 51
- 30
Kabla ya kufanya uchaguzi,Lissu akihojiwa na DW akasema uchaguzi huu ni kipimo cha kukubalika au kukataliwa kwa serikali iliyopo madarakani,baada ya uchaguzi na matokeo kuwa tofauti na matarajio,chaguzi ndogo huwa siyo kipimo kwa sababu chama tawala huelekeza nguvu zote huko.