Utata wa miaka 30 duniani

Utata wa miaka 30 duniani

Travoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
397
Reaction score
483
Naomba ufafanuzi toka kwa watu wazima wenzangu..

Nina mke ananipa haki yangu ya ndoa mara tatu kwa wiki...lakini nashangaa pamoja na kupewa yote lately siridhiki na mwanamke mmoja maana nakuwa namtaka sana kiasi kwamba naona wakati mwingine kama Inakuwa too much...

Je suala hili linahusiana na umri maana Kabla niliweza ridhika tu na hizo mara tatu

Sasa hivi nina moto sana na haya mambo in short mtu mmoja hanitoshi..Tatizo ni umri au nina matitizo binafsi..

[HASHTAG]#Ushauri[/HASHTAG]
 
Mwambie mkeo tatizo lako
Huwezi jua anaweza akakupa zaidi ya anavyokupa sasa
Ni kweli pengine na yeye anataka kama si kila siku kwaio labda anamuonea aibu kumwambia mumewe

What goes around always comes around
 
Mwambie mkeo tatizo lako
Huwezi jua anaweza akakupa zaidi ya anavyokupa sasa
Tumediscuss hilo suala...nampa sana mavitu kiasi kwamba naona kweli anachoka na sitaki kumfanya chombo cha starehe..
 
Tumediscuss hilo suala...nampa sana mavitu kiasi kwamba naona kweli anachoka na sitaki kumfanya chombo cha starehe..
Baada ya kudiscuss akakupa solution ipi?
 
Naomba ufafanuzi toka kwa watu wazima wenzangu..

Nina mke ananipa haki yangu ya ndoa mara tatu kwa wiki...lakini nashangaa pamoja na kupewa yote lately siridhiki na mwanamke mmoja maana nakuwa namtaka sana kiasi kwamba naona wakati mwingine kama Inakuwa too much...

Je suala hili linahusiana na umri maana Kabla niliweza ridhika tu na hizo mara tatu

Sasa hivi nina moto sana na haya mambo in short mtu mmoja hanitoshi..Tatizo ni umri au nina matitizo binafsi..

[HASHTAG]#Ushauri[/HASHTAG]
Umeanza lini kumtamaani sana mkeo? anaonekana yuko bomba sana, hebu tupia kapicha kake hapa ila mkate uso!!!
Hiyo hali ni kipindi cha mpito, kadri unavyofanya ndivyo inavyozidi kuchanganya, jaribu kuicontrol hali yako ili utunze afya yako,too much ngono huharibu afya. ishanitokea sana hiyo hadi namuonea huruma wife, kwa sababu siku wewe una nyege sana yeye wala hana hamu na ukimkaza unamuumiza maana hata ukimchea ili aloane yeye wala hakupati na ukimkaza unamuachia michubuko...
 
Back
Top Bottom