bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,030
- 5,772
- Thread starter
- #1,441
Hii post ni ya 55 kwenye uzi huu nadhani mnaweza connect dot.Hivi ni kweli Lowassa alikuja Chadema kutaka ukombozi wa mdanganyika dhidi ya mtanganyika au alitaka walichopanga kipindi hicho kitimie mambo waliofanya bado siamini kama tutapata ukombozi kwa kuwabeba makapi kutoka ccm.
Aikael tunakuomba umuambie Lowassa apumzike anatuondoa kwenye malengo yetu ya kupata uhuru wetu wa kweli. Kikwete ni mjanja sana ila malipo ni hapa hapa duniani.