Utata wa Jina na Umri wa Lulu!

Wampime meno, kutumia carbon14 hapo ubishi utaisha.
Nani hajui Tz hapa vyeti vya kuzaliwa vinachongwa kama pipi.

Twende kwa scientic proof, wasipoteze muda kwa kitu kidogo, wakati njia ya kumaliza utata ipo.
hiyo ndo solution hakuna kitu kingine kitakachomaliza ubishi.
 
Mkuu hapo kwenye red kuchanganywa na wakubwa mahabusu tu ndo kuna kughafirika kisaikolojia,na kuchanganya kitanda na wakubwa je,hakuna?



Mkuu nimekupata vizuri, huyu kumpeleka kwanye mahabusu ya watoto wakati anafanya mambo ya wakubwa unahatarisha watoto atakao kuwa nao huko. Huyu siyo wa kuchanganya na watoto kabisa, watoto wadogo wanaoigaiga wanweza wakaiga tabia zake ikawa hasara kwa jamii.
 
Mkuu hapo kwenye red kuchanganywa na wakubwa mahabusu tu ndo kuna kughafirika kisaikolojia,na kuchanganya kitanda na wakubwa je,hakuna?



Mkuu nimekupata vizuri, huyu kumpeleka kwanye mahabusu ya watoto wakati anafanya mambo ya wakubwa unahatarisha maisha ya watoto atakao kuwa nao huko. Huyu siyo wa kuchanganya na watoto kabisa, watoto wadogo wanaoigaiga wanweza wakaiga tabia zake ikawa hasara kwa jamii.
 
... Cheti cha kuzaliwa kinaonesha kuwa Lulu anaitwa Diana Elizabeth Michael; umri miaka 17; wakati maelezo yake Polisi yanaonesha umri miaka 18; Jina Elizabeth Michael.
...

Unasema majina mawili lakini mimi naona majina matatu, Diana, Elizabeth na Lulu
 
Mtoto wa miaka 17 hawezi kufanya mambo alofanya Lulu maana ni ya kiutu uzima kuliko,

Hapa tunaongelea sheria, kama Lulu ni mtoto anastahili kuwa treated kama mtoto kisheria. Kwa kweli nimeshangazwa sana na uamuzi wa mahakama wa kutupa shauri la umri wa Lulu, kwa kisingiio kwamba bado upelelezi unaendelea. Huku si tu kukosa ufahamu wa kisheria bali hata busara pia, kwa kuwa upelelezi unaodaiwa ukikamilika na Lulu akaonekana kweli ana miaka 17, watarudisha nyakati nyuma ili asiwe remanded kama mtu mzima? Hili ni jamb lililotakiwa kushughulikiwa mara moja, kwani halihitaji forensic investigation kulitatua. Jamani, tatizo hapa nchini si mawaziri tu, hata katika mfumo wa sheria tuna mahakimu na majaji wa ajabu kabisa. Huko nyuma kuna hakimu aliamuru mbwa auwawe kwa kupewa jina "Immigration".

Mie nadhani Katiba mpya ya nchi iruhusu pia dhamana kwa ajili ya kesi fulani za mauaji, ukizingatia mtuhumiwa ni innocent until proven guilty. Tanzania sheia yetu inaonea sana watuhumiwa wa mauaji ambao hawana hatia. Mara nyingine wanakaa ndani miaka hadi mitano wakisubiri upelelezi ukamilike.
 
Wampime meno, kutumia carbon14 hapo ubishi utaisha.
Nani hajui Tz hapa vyeti vya kuzaliwa vinachongwa kama pipi.

Twende kwa scientic proof, wasipoteze muda kwa kitu kidogo, wakati njia ya kumaliza utata ipo.
Unaijua carbon-14 au uliikariri tu darasni...carbon-14 inapima umri kuanzia miaka 5000na kuendelea.
 
Hapa tunaongelea sheria, kama Lulu ni mtoto anastahili kuwa treated kama mtoto kisheria. Kwa kweli nimeshangazwa sana na uamuzi wa mahakama wa kutupa shauri la umri wa Lulu, kwa kisingiio kwamba bado upelelezi unaendelea. Huku si tu kukosa ufahamu wa kisheria bali hata busara pia, kwa kuwa upelelezi unaodaiwa ukikamilika na Lulu akaonekana kweli ana miaka 17, watarudisha nyakati nyuma ili asiwe remanded kama mtu mzima? Hili ni jamb lililotakiwa kushughulikiwa mara moja, kwani halihitaji forensic investigation kulitatua. Jamani, tatizo hapa nchini si mawaziri tu, hata katika mfumo wa sheria tuna mahakimu na majaji wa ajabu kabisa. Huko nyuma kuna hakimu aliamuru mbwa auwawe kwa kupewa jina "Immigration".

Mie nadhani Katiba mpya ya nchi iruhusu pia dhamana kwa ajili ya kesi fulani za mauaji, ukizingatia mtuhumiwa ni innocent until proven guilty. Tanzania sheia yetu inaonea sana watuhumiwa wa mauaji ambao hawana hatia. Mara nyingine wanakaa ndani miaka hadi mitano wakisubiri upelelezi ukamilike.

Jamani hili suala lilikuwa rahisi na kama sio ushauri wa kipuuzi mnaompatia huu binti angekuwa ameshatoka au anakaribia kutoka kwani mazingira ya kifo cha kanumba yanaonyesha ni bahati mbaya. Tatizo linakuja kuwa washauri wa Lulu wanazidi kulikuza tatizo. Ni kweli cheti cha kuzaliwa ni kithibitisho halali cha kuonyesha umri wa mtu. Ila sasa tabia ya Lulu imekifanya kitiliwe shaka. Huyu binti anaendesha gari kwa maana hiyo ana Leseni na Leseni yake inaonyesha ana zaidi ya miaka 18!!!! Huyu binti alishafanya sherehe ya kutimiza miaka 18. Bila shaka umri wake wa miaka 18 ndo yeye aliwaambia polisi wakati anatoa maelezo ya awali. Msingeibuka na suala la Umri, tayari angeshakuwa nje kwa dhamana na kesi ya kuua bila kukusudia ingekuwa inaendelea. Haya malumbano ya umri yanaweza yakasababisha aendelee kukaa ndani si kwa sababu ya kosa lililompeleka ila kwa kudanganya akapata leseni ya kuendesha na pia mahakama ikamwona si mkweli kwa hiyo ikamnyima dhamana hata pale atakapokuwa na haki ya kuipata.

Naomba tusijitafutie umaarufu kwenye hii kesi kwani tunamkoroga huyu binti. Hii ni kesi ndogo kuliko ya marehemu Dito ila tukishaingiza element za kuichanganya mahakama, mahakama itatafsiri vinginevyo na huyu binti ataendelea kusota rumande bila sababu ya msingi.
 
Huyu binti anaendesha gari kwa maana hiyo ana Leseni na Leseni yake inaonyesha ana zaidi ya miaka 18!!!! Huyu binti alishafanya sherehe ya kutimiza miaka 18.Msingeibuka na suala la Umri, tayari angeshakuwa nje kwa dhamana na kesi ya kuua bila kukusudia ingekuwa inaendelea

Kuwa na leseni inaonyesha ana zaidi ya miaka 18, kufanya sherehe ya miaka 18 au kusema sijui Lulu alishachezewa ngoma ya kumtoa utawa, yote hayo unayosema hayawezi yakawa ushahidi wa kwamba Lulu ana miaka 18. Ile ni mahakama ya kisheria, sio baraza la hukumu la kijiji.

Na pia mahakama haisomi posts kwenye JF ili kutoa uamuzi. Suala la kwamba watu wa JF wanampa Lulu ushauri wa kipuuzi sijui hata linaingiaje. Yeye ana wanasheria wake, wenye akili ya kuchanganua mambo.
 
Mtoto wa miaka 17 hawezi kufanya mambo alofanya Lulu maana ni ya kiutu uzima kuliko, mpaka yanatia KICHEFU CHEFU, na zaidi tunasikia ANA MIMBA YA MIEZI 4 , sasa sijui ni kweli! na istoshe hata kama hakupatikana na hatia ya kuua, vipi ameiongopea serikali mpaka apate driving Licence?

Kilichomponza ni umaarufu alioupata akiwa mdogo sana... Yule ni mtoto,hata cheti cha kuzaliwa kwake kipo,na si kipya kama cha kuchongwa juzi! Ukikiona utajua ni cha muda mrefu... Na labda ofisi kilipotolewa pawe pameungua moto,lakini records zipo kilitolewa miaka ya zamani..
 
kua na cheti sio hoja...vyeti vya kuzaliwa siku hizi vinachakachuliwa bt huyu msichana hata mimi kwa kumuangalia hajafika 18..sana sana 17 tena mi ningeenda as far as kusema yuko 16

haka kabinti toka mwanzo kalivoanza kuact sijui kalikua kama miaka 12 kalikua tu kanaonekana mapepe na nilijua akifika 18 ataharibikiwa...bt ni bora afungwe akae jela aisee maana akikaa huku mtaani atakufa kwa ukimwi atawamaliza waume za watu...bora wambane huko huko. Huyu mtoto yuko 17 tayari ashalala na wanaume wote hao akifika miaka 30 itakuaje??
 
Lakini jamani kwani mahakamani wanaangalia umri wa mtu wapi si kwenye vyeti vya kuzaliwa au muonekano wa usoni? Kuna anayebisha kuwa Lulu ukimtizama usoni anaonekana ana miaka 17 au ukiwa na makengeza utamuona anamiaka16. Nawashauri wampime umri wake chini ya kiuno, haki yanani watagundua kule chini yule binti anamiaka si chini ya 45 yaani ni mtu mzima kuliko hata hao askari wanao mlinda maana stamina yake siyakitoto!

JF kweli mnamambo yenye umrin zaidi ya Lulu!
 
Kuwa na leseni inaonyesha ana zaidi ya miaka 18, kufanya sherehe ya miaka 18 au kusema sijui Lulu alishachezewa ngoma ya kumtoa utawa, yote hayo unayosema hayawezi yakawa ushahidi wa kwamba Lulu ana miaka 18. Ile ni mahakama ya kisheria, sio baraza la hukumu la kijiji.

Na pia mahakama haisomi posts kwenye JF ili kutoa uamuzi. Suala la kwamba watu wa JF wanampa Lulu ushauri wa kipuuzi sijui hata linaingiaje. Yeye ana wanasheria wake, wenye akili ya kuchanganua mambo.

Yaani sheria za nchi hii ni maandishi tu lakini utekelezaji wake ni mbovu kabisa! Hivi kweli court as a court itself, tena a court of law with competent jurisdiction (though it has no jurisdiction over such matters), yaani wanarely on the charge sheet as per the police station?? Wamesahau kabisa sheria zao kuhusu mambo ya pleadings, admissions, confessions and even the committal proceedings kiasi kwamba yaloandikwa polisi yanawapa uzito kiasi hicho?? BTW, hawakuliona hilo wakati anafikishwa mbele ya mahakama kwa mara ya kwanza ndo waje walihangaikie leo?
 
Back
Top Bottom