Utata mwanamke kujinyonga polisi

Utata mwanamke kujinyonga polisi

Your comment looks like sitire and sarcasm. Look back at your DP
What he wrote is neither satirical nor is it sarcastic but the plain truth which is definitely not palatable to those who don't value other people's lives.
 
MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Ilitokea bahati mbaya gani mpaka akawa peke yake mahabusu ? Hili jambo gumu sana

2. Aliwekwa kituoni kwa makosa yepi ??

3. Mchakato wote wa kujinyonga polisi walikuwa wapi ??

4. Kwa nini apelekwe kituoni usiku wa saa 5:27 wakati polisi walikuwa mbali ya kituo wakati wote wa kujinyonga hiyo saa 5:27 walitokea wapi ?

5. Nguo aliyojinyongea ina uimara kiasi gani na ni ya aina gani ??

6. Polisi wana mamraka ya kuua mahabusu ??


NCHI HII SA HIVI WOTE TUMEKUWA WATUMWA KWENYE NCHI YETU WENYEWE.
Hoja fikirishi,lkn nijuavyo mimi jinsi nchi hii ilivyo na watu hopless,tutajibiwa majibu mepesi Sana.
 
MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Ilitokea bahati mbaya gani mpaka akawa peke yake mahabusu ? Hili jambo gumu sana

2. Aliwekwa kituoni kwa makosa yepi ??

3. Mchakato wote wa kujinyonga polisi walikuwa wapi ??

4. Kwa nini apelekwe kituoni usiku wa saa 5:27 wakati polisi walikuwa mbali ya kituo wakati wote wa kujinyonga hiyo saa 5:27 walitokea wapi ?

5. Nguo aliyojinyongea ina uimara kiasi gani na ni ya aina gani ??

6. Polisi wana mamraka ya kuua mahabusu ??


NCHI HII SA HIVI WOTE TUMEKUWA WATUMWA KWENYE NCHI YETU WENYEWE.
Ikiwa ndiye mahabusu pekee aliku kituoni wakati husika ulitaka akae na nani ndani chumba cha mahabusu?
 
Hii nchi tutarudi kwenye mambo ya kurogana.

Kule Njombe kuna kitu wanaita " TEGO".......ni balaa hiyo kitu bwashee!
Iyo ma father wa kanisa waliingikia kati maana raia walikuwa wana kufa pasipo nq hatia

Nasikia walikiwa wana tega mkungu wa ndizi unao karibia kuiva....ndizi ikiiva ikadondoka bac hukonmtu anaondoka balaaa sana iyo
 
Dah. Nilisoma nae Shule moja. It’s so sad kusikia Hii report. Hii life basi tu.
 
Dah...ni ujinga tu kujiua kwa sababu ya madeni….wakati mtu unaweza kuishi kwa figo moja bila tatizo lolote...Kule Iran ambako figo zinauzwa kihalali….figo moja bei yake ni kati ya shilingi milioni 120 hadi 300 kutokana na ubora ...halafu wewe unajiua...unafukiwa na figo zako 🤣 🤣🤭
CCM ni janga la Taifa, imebinya fursa zote hadi Wananchi wanyonge wanaishia kujinyonga tu.
 
Wanavyo dai eti mahabusu wengine walipata mzamana masaa machache baada ya marehemu kuwekwa ndani
@luangalila una Kiswahili kibovu sana ndugu yangu. Ina maana miaka yote unakaa Maruku na Kyampisi hutoki kwenda hata Singida au Dodoma ili ujue unatakiwa kuwa competent kwenye hii lugha. Kila comment yako huwa na makosa
 
@luangalila una Kiswahili kibovu sana ndugu yangu. Ina maana miaka yote unakaa Maruku na Kyampisi hutoki kwenda hata Singida au Dodoma ili ujue unatakiwa kuwa competent kwenye hii lugha. Kila comment yako huwa na makosa
Mm ni mkenya so vumilia tu swahili yangu
 
MASWALI YA KUJIULIZA.

1. Ilitokea bahati mbaya gani mpaka akawa peke yake mahabusu ? Hili jambo gumu sana

2. Aliwekwa kituoni kwa makosa yepi ??

3. Mchakato wote wa kujinyonga polisi walikuwa wapi ??

4. Kwa nini apelekwe kituoni usiku wa saa 5:27 wakati polisi walikuwa mbali ya kituo wakati wote wa kujinyonga hiyo saa 5:27 walitokea wapi ?

5. Nguo aliyojinyongea ina uimara kiasi gani na ni ya aina gani ??

6. Polisi wana mamraka ya kuua mahabusu ??


NCHI HII SA HIVI WOTE TUMEKUWA WATUMWA KWENYE NCHI YETU WENYEWE.
Au aliyemshataki alitoa hongo,polis wammalizie KBS nn?
 
Back
Top Bottom