What he wrote is neither satirical nor is it sarcastic but the plain truth which is definitely not palatable to those who don't value other people's lives.Your comment looks like sitire and sarcasm. Look back at your DP
What he wrote is neither satirical nor is it sarcastic but the plain truth which is definitely not palatable to those who don't value other people's lives.Your comment looks like sitire and sarcasm. Look back at your DP
Hoja fikirishi,lkn nijuavyo mimi jinsi nchi hii ilivyo na watu hopless,tutajibiwa majibu mepesi Sana.MASWALI YA KUJIULIZA.
1. Ilitokea bahati mbaya gani mpaka akawa peke yake mahabusu ? Hili jambo gumu sana
2. Aliwekwa kituoni kwa makosa yepi ??
3. Mchakato wote wa kujinyonga polisi walikuwa wapi ??
4. Kwa nini apelekwe kituoni usiku wa saa 5:27 wakati polisi walikuwa mbali ya kituo wakati wote wa kujinyonga hiyo saa 5:27 walitokea wapi ?
5. Nguo aliyojinyongea ina uimara kiasi gani na ni ya aina gani ??
6. Polisi wana mamraka ya kuua mahabusu ??
NCHI HII SA HIVI WOTE TUMEKUWA WATUMWA KWENYE NCHI YETU WENYEWE.
Tusubiri uchunguzi wa tukio, tusikimbilie kutoa hitimisho kabla ya uchunguzi kukamilika.Kwa taratibu za mahabusu na hali iliyopo kwenye vyumba vyao ni ngumu sana kujinyonga.
Hiyo chuki hutoka kwa watu wenye uelewa mfinyu km wewe.Hii sinema mbona wameicheza vibaya...!!
Na mambo kama haya ndio yanaongeza chuki kati ya jeshi la polisi na raia...![]()
Acha mbwe mbwe au weka takwimu.Tulipokua kwenye uchumi wa chini tulikua na amani, huu uchumi wa kati umeondoa furaha na matumaini yetu kabisa.
Ikiwa ndiye mahabusu pekee aliku kituoni wakati husika ulitaka akae na nani ndani chumba cha mahabusu?MASWALI YA KUJIULIZA.
1. Ilitokea bahati mbaya gani mpaka akawa peke yake mahabusu ? Hili jambo gumu sana
2. Aliwekwa kituoni kwa makosa yepi ??
3. Mchakato wote wa kujinyonga polisi walikuwa wapi ??
4. Kwa nini apelekwe kituoni usiku wa saa 5:27 wakati polisi walikuwa mbali ya kituo wakati wote wa kujinyonga hiyo saa 5:27 walitokea wapi ?
5. Nguo aliyojinyongea ina uimara kiasi gani na ni ya aina gani ??
6. Polisi wana mamraka ya kuua mahabusu ??
NCHI HII SA HIVI WOTE TUMEKUWA WATUMWA KWENYE NCHI YETU WENYEWE.
Sawa mke wa afande..Hiyo chuki hutoka kwa watu wenye uelewa mfinyu km wewe.
Uelewa mfinyu watu kuhoji mahabusu kujinyonga?Hiyo chuki hutoka kwa watu wenye uelewa mfinyu km wewe.
Iyo ma father wa kanisa waliingikia kati maana raia walikuwa wana kufa pasipo nq hatiaHii nchi tutarudi kwenye mambo ya kurogana.
Kule Njombe kuna kitu wanaita " TEGO".......ni balaa hiyo kitu bwashee!
Wanavyo dai eti mahabusu wengine walipata mzamana masaa machache baada ya marehemu kuwekwa ndaniHata me nlitaka kuuliz hvyohvyo
CCM ni janga la Taifa, imebinya fursa zote hadi Wananchi wanyonge wanaishia kujinyonga tu.Dah...ni ujinga tu kujiua kwa sababu ya madeni….wakati mtu unaweza kuishi kwa figo moja bila tatizo lolote...Kule Iran ambako figo zinauzwa kihalali….figo moja bei yake ni kati ya shilingi milioni 120 hadi 300 kutokana na ubora ...halafu wewe unajiua...unafukiwa na figo zako 🤣 🤣🤭
@luangalila una Kiswahili kibovu sana ndugu yangu. Ina maana miaka yote unakaa Maruku na Kyampisi hutoki kwenda hata Singida au Dodoma ili ujue unatakiwa kuwa competent kwenye hii lugha. Kila comment yako huwa na makosaWanavyo dai eti mahabusu wengine walipata mzamana masaa machache baada ya marehemu kuwekwa ndani
Mm ni mkenya so vumilia tu swahili yangu@luangalila una Kiswahili kibovu sana ndugu yangu. Ina maana miaka yote unakaa Maruku na Kyampisi hutoki kwenda hata Singida au Dodoma ili ujue unatakiwa kuwa competent kwenye hii lugha. Kila comment yako huwa na makosa
Au aliyemshataki alitoa hongo,polis wammalizie KBS nn?MASWALI YA KUJIULIZA.
1. Ilitokea bahati mbaya gani mpaka akawa peke yake mahabusu ? Hili jambo gumu sana
2. Aliwekwa kituoni kwa makosa yepi ??
3. Mchakato wote wa kujinyonga polisi walikuwa wapi ??
4. Kwa nini apelekwe kituoni usiku wa saa 5:27 wakati polisi walikuwa mbali ya kituo wakati wote wa kujinyonga hiyo saa 5:27 walitokea wapi ?
5. Nguo aliyojinyongea ina uimara kiasi gani na ni ya aina gani ??
6. Polisi wana mamraka ya kuua mahabusu ??
NCHI HII SA HIVI WOTE TUMEKUWA WATUMWA KWENYE NCHI YETU WENYEWE.