Kelevra
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 1,054
- 2,015
Nilisikia habari za Dada mmoja kujinyonga mtaani kwetu sikuweza ku connect na hii ishu kwani Mburahati ni mbali sana tena sana na huku kitaani kwetu.
Katika story story nikaingiza taarifa hii nikaambiwa tu "Si ndo huyo" nikauliza kuhusu hizo taarifa za madeni kama ilivyo katika habari hii nikaambiwa ni kweli....kuhusu kujinyonga kwake wazazi wanakataa wanasema alikua strong asingeweza kujiua.
Kifupi ukisikiliza taarifa za mtaani huwezi kuwa kwenye position ya ku judge ni bora kusubiri tu majibu ya "postmortem"
Katika story story nikaingiza taarifa hii nikaambiwa tu "Si ndo huyo" nikauliza kuhusu hizo taarifa za madeni kama ilivyo katika habari hii nikaambiwa ni kweli....kuhusu kujinyonga kwake wazazi wanakataa wanasema alikua strong asingeweza kujiua.
Kifupi ukisikiliza taarifa za mtaani huwezi kuwa kwenye position ya ku judge ni bora kusubiri tu majibu ya "postmortem"