entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 248
- 464
Katika jamii yetu ni kawaida kusikia mwanaume akisema sifungi ndoa mpaka nimiliki kitu flani mfano nyumba au gari n.k. mtazamo wa mwanaume huyu katika jamii asilimia kubwa watakubaliana naye.
Sasa tuje upande wa mwanamke mwenye mtazamo kwamba siolewi ila na mwanaume anaemiliki kitu flani, jamii humuona mwanamke huyu kama hafai kuwa wife material.
Sasa naishia kujiuliza swali kwanini mapokezi ya mtazamo mmoja yamekuwa tofauti katika hizi jinsia mbili?
Sasa tuje upande wa mwanamke mwenye mtazamo kwamba siolewi ila na mwanaume anaemiliki kitu flani, jamii humuona mwanamke huyu kama hafai kuwa wife material.
Sasa naishia kujiuliza swali kwanini mapokezi ya mtazamo mmoja yamekuwa tofauti katika hizi jinsia mbili?