Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,126
Reaction score
24,424
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususani hawasemi? Wanaweza kusema labda ni wanachama mimi nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina Diamond na wengineo wengi.

Bora hata vyama vya upinzani CHADEMA for instance mbali na ruzuku wanapata pia misaada kutoka vyama rafiki nje lakini mbali na CCM nadhani si ruzuku tu.

Huenda pesa zinachotwa serikalini hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao.

Isiwe ikawa ni kodi zetu
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
SERIKALINI?????
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Wana miradi mingi
aa90e10479be11b9c678add655b6cbdb.jpg
 
Vipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu

Mkuu naona kana unauliza vumbi darini. Huko hazina wananyofoa kwa lugha watarudisha. Wakikosa inaandikwa kwenye bad debtors.
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Mkuu Max anateswa kwa sababu kawakatalia CCM kununua JF kwa billioni 10. Jiulize wanazipata wapi?
 
Vipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
Mkuu vyanzo vya mapato vya ccm vyote ni Mali za umma ukawa ukiingia madarakani vyote vinarudi serekalini
 
Vipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
Kosa, umeshindwa mtihani
 
Vipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
Yeye kauliza mapato ya CCM ukitaka ya Chadema anzisha uzi wake utajibiwa.
 
Di
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
dili zote kubwa za kifisadi ccm hupata mgao, ndio maana mafisadi papa hawawezi kufikishwa mahakamani
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Ccm ndio chama tajiri barani Africa hebu jaribu kufuatilia tu kwa mkoa unaoshi wewe Mali za ccm tu then rudi tena kuandika hapa
 
Ccm ndio chama tajiri barani Africa hebu jaribu kufuatilia tu kwa mkoa unaoshi wewe Mali za ccm tu then rudi tena kuandika hapa
hahaha we jinga kwel mali zipi za kuwapa mabilioni? jee ni yale majumba mabovu Ya maofisi mlojenga kule?
hivyo viwanja mmeweka vitega uchumi gan?
 
Back
Top Bottom