Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

Ccm ndio chama tajiri barani Africa hebu jaribu kufuatilia tu kwa mkoa unaoshi wewe Mali za ccm tu then rudi tena kuandika hapa

Hapohapo kabla hujaondoka piga mali wanazomiliki ni ngapi walizipata wakati wa vyama vingi na ngapi walipora zilizopatikana wakati wa chama kimoja enzi za chama kupiga hatamu. Asilimia 80 walipora zilizojengwa kipindi ya chama kimoja wakati fedha za chama zilipokuwa zinakusanywa na kuchanganywa na za umma. Tuache hilo, umewahi kuangalia hizo mali kama viwanja na majengo zina hali gani kwa sasa? Nadhani hata kupiga rangi imekuwa ni shida. Kama huamini muulize Kinana.
 
Ndugu tunapotaka kujua kitu lazima tuweke mapenzi na chuki pembeni iliuweze kujua wakati tuna chama kimoja kutokea TAA,TANU mpaka ccm Mali nyingi zilimilikishwa chama kwa sababu ya kuwepo chama kimoja na mpaka mfumo wa vyama vingi ccm iliendelea kushikilia Mali zote ilizokuwa nazo huende zilikuwa za umma au la kwavile zilikuwa zinatumika kwa jina la ccm basi zilikuwa zao kwa sababu hakukuwa na sheria ambayo ingeweza kuwashurutisha wazirudishe serikalini ndio mpaka Leo unaona baadhi ya viwanja na majengo viwanja vya mpira viwanja vya wazi ni Mali zao

Hapohapo kabla hujaondoka piga mali wanazomiliki ni ngapi walizipata wakati wa vyama vingi na ngapi walipora zilizopatikana wakati wa chama kimoja enzi za chama kupiga hatamu. Asilimia 80 walipora zilizojengwa kipindi ya chama kimoja wakati fedha za chama zilipokuwa zinakusanywa na kuchanganywa na za umma. Tuache hilo, umewahi kuangalia hizo mali kama viwanja na majengo zina hali gani kwa sasa? Nadhani hata kupiga rangi imekuwa ni shida. Kama huamini muulize Kinana.
 
Pointless unaanzisha hoja usizoweza kuzitetea kajipange.
Wewe umetetea ipi? Kama unaona vioja vyako ni hoja hutaweza hata siku moja kujitoa kwenye lindi hilo. Kitaalamu watu wa aina yako wanatwa wapumbavu. Ukibishana na mpumbavu ni rahisi kuwekwa naye kundi moja.

Andika unayotaka kwa Upumbavu wako jitangazie ushindi kama mnavyojitangaziaga
 
Wewe umetetea ipi? Kama unaona vioja vyako ni hoja hutaweza hata siku moja kujitoa kwenye lindi hilo. Kitaalamu watu wa aina yako wanatwa wapumbavu. Ukibishana na mpumbavu ni rahisi kuwekwa naye kundi moja.

Andika unayotaka kwa Upumbavu wako jitangazie ushindi kama mnavyojitangaziaga
Ni kawaida kwa mtetea hoja akishindwa plan b yake ni matusi na kejeli am out hunipati huko najitambua.
 
Chama Cha Mapinduzi ni taasisi kama zilivyotaasisi zingine kwa mantiki hiyo CCM wanamiradi mingi sana za kuwaingizia kipato mfano Wanashule, Wanamashamba wanayoendesha kilimo, Wanaviwanja vya Michezo, Wanamajengo ya kukodisha na pia Wanamakampuni mbalimbali hapa Tanzania yanayofanya biashara mbalimbali; Pia kupitia hizo Kampuni za Biashara hulipa Kodi kama taasisi zingine za kawaida hapa Tanzania!
 
Huu ni mfano wa MTU aliyevamiwa ghafla halafu hajui ajitetee vipi! Basi ataanza kurusha risasi hovyo hovyo tu mradi karusha risasi! Ukawa wamekamatika haswa, wanashika kila mahali wanateleza!
 
Huu ni mfano wa MTU aliyevamiwa ghafla halafu hajui ajitetee vipi! Basi ataanza kurusha risasi hovyo hovyo tu mradi karusha risasi! Ukawa wamekamatika haswa, wanashika kila mahali wanateleza!
Stroke = Kiharusi ni shiida
 

Unaongea nini wewe, hivi wewe kuwa kaka mkubwa ndio mzazi akifariki mali zote za baba ziwe zako? Kumbuka kama ni kuzipata hizo mali ilitumika nguvu ya watu wote tena kwa jina la serekali na chama kilikuwa mdhamini tu. Tuache hayo ni viwanja vingapi vikubwa ilivyojenga kama vile ilivyomiliki kimabavu toka mfumo wa vyama vingi uingie? Sana sana walijengea ukumbi wa mikutano tena wakati bado watu hawajaanza kuhoji vizuri napo kuna mashaka kama ni hela za chama chao. Majengo mengine yamejengwa kwa sehemu kubwa na matajiri tena kwa lengo la kuwafumbia macho kwenye kodi ama kupewa raslimali za taifa kinyemela . Wewe umezaliwa juzi unachoambiwa ni kwamba ni mali za chama, kwa taarifa yako ni mali za urithi na wala sio nguvu ya wanachama wa ccm pekee. Iweje zamani chama hichohicho kiwe na mali nyingi enzi hizo na mara baada ya mfumo wa vyama vingi kishindwe? Hata kama kusoma hujui na picha huoni?
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususani hawasemi? Wanaweza kusema labda ni wanachama mimi nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina Diamond na wengineo wengi.

Bora hata vyama vya upinzani CHADEMA for instance mbali na ruzuku wanapata pia misaada kutoka vyama rafiki nje lakini mbali na CCM nadhani si ruzuku tu.

Huenda pesa zinachotwa serikalini hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao.

Isiwe ikawa ni kodi zetu
Hata ruzuku wanazotumia Chadema ni kodi zetu au hujui?
 
Wana miradi mingi
aa90e10479be11b9c678add655b6cbdb.jpg
Wanalipa kodi?
 
Jiulize kwa nn Dangote kabla hajafanya uwekezaji alipelekwa kwa Katibu Mkuu wa CCM?
 
Chama cha mkoba G si chanzo cha mapato?Nauliza tu.
 
Unaongea nini wewe, hivi wewe kuwa kaka mkubwa ndio mzazi akifariki mali zote za baba ziwe zako? Kumbuka kama ni kuzipata hizo mali ilitumika nguvu ya watu wote tena kwa jina la serekali na chama kilikuwa mdhamini tu. Tuache hayo ni viwanja vingapi vikubwa ilivyojenga kama vile ilivyomiliki kimabavu toka mfumo wa vyama vingi uingie? Sana sana walijengea ukumbi wa mikutano tena wakati bado watu hawajaanza kuhoji vizuri napo kuna mashaka kama ni hela za chama chao. Majengo mengine yamejengwa kwa sehemu kubwa na matajiri tena kwa lengo la kuwafumbia macho kwenye kodi ama kupewa raslimali za taifa kinyemela . Wewe umezaliwa juzi unachoambiwa ni kwamba ni mali za chama, kwa taarifa yako ni mali za urithi na wala sio nguvu ya wanachama wa ccm pekee. Iweje zamani chama hichohicho kiwe na mali nyingi enzi hizo na mara baada ya mfumo wa vyama vingi kishindwe? Hata kama kusoma hujui na picha huoni?
Nahisi hukuelewa nini nilichokuwa namaanisha punguza chuki kwanza
 
Back
Top Bottom