Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

Utata juu ya mapato ya CCM Tanzania

Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususani hawasemi? Wanaweza kusema labda ni wanachama mimi nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina Diamond na wengineo wengi.

Bora hata vyama vya upinzani CHADEMA for instance mbali na ruzuku wanapata pia misaada kutoka vyama rafiki nje lakini mbali na CCM nadhani si ruzuku tu.

Huenda pesa zinachotwa serikalini hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao.

Isiwe ikawa ni kodi zetu
Wewe umeamua kwa maksudi kabisa kuwasema chadema kwa kuwa toka kianze bado wamepanga pale Kinondoni kwenye nyumba ya kiongozi wa chama.

Nakutajia kwa uchache sana vitega uchumi vya hao ccm
1.Viwanja vya mipira vikubwa eg CCM kirumba, etc
2.Majengo ni mengi mno eg makao makuu ya Airtel,Zantel,jengo la vijana pale karibu na DIT etc etc
3.wanachama zaidi ya 8M

Etc etc etc etc
 
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususani hawasemi? Wanaweza kusema labda ni wanachama mimi nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina Diamond na wengineo wengi.

Bora hata vyama vya upinzani CHADEMA for instance mbali na ruzuku wanapata pia misaada kutoka vyama rafiki nje lakini mbali na CCM nadhani si ruzuku tu.

Huenda pesa zinachotwa serikalini hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao.

Isiwe ikawa ni kodi zetu
Ruzuku ya CDM inafanya kazi gani mbona hata ofisi ya Makao Makuu hakuna?
 
Vipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
Cha maana walichofanya ccm ni nn.hasa?
 
Mi kweli naweza kuwa mjinga lakini wewe ukawa mwerevu uliyeshindwa kujua au kuitumia akili yako ipasavyo mi si ccm fwatilia kwanza vitega uchumi vya ccm na ujue wanapataje mapato yao na wanayatumiaje sio kubisha bila fact
Unashindwa nn kuvitaja mkuuu
 
naona ccm mmeshindwa kujib hoja nataman sana mchunguzwe
 
Subiria Ruzuku ya vyama vya siasa itapofutwa kabla ya 2020 ndio utajifunza kuuliza maswali yenye msingi.

Jiulize kwanini mwenyekiti wao hivi sasa yupo busy kuhakikiki mali za chama na mapato yatokanayo na mali hizo. Jiulize kwanini wanabadili mfumo wao wa kadi za uanachama.

Ujue zama za vyama kuishi kwa ruzuku zinaelekea ukingoni.

Sasa endelea kuhoji vya mwenzio badala ya kujipanga kwa vyako.
 
Wana miradi mingi
aa90e10479be11b9c678add655b6cbdb.jpg
Orodhesha
 
Mapato yao yanatokana na ujangili, ufisadi, wauza unga na kuchota hela ya umma. Haitaki kuondoka madaraka kwa mengi hio mijambazi shenz* type.


Ndukiiiii
 
Back
Top Bottom