middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,309
- 1,695
Ulikosea sana mkuu ...sio mbaya lakiniSamahani Mkuu.
Tatizo hukutujulisha maana tushakuwa watumwa kila siku twapita angalia hakuna kitu
Ila all the Best
Samahani tena
Ulikosea sana mkuu ...sio mbaya lakiniSamahani Mkuu.
Tatizo hukutujulisha maana tushakuwa watumwa kila siku twapita angalia hakuna kitu
Ila all the Best
Samahani tena
Its all good mkuu!! No hard feelings..Samahani Mkuu.
Tatizo hukutujulisha maana tushakuwa watumwa kila siku twapita angalia hakuna kitu
Ila all the Best
Samahani tena
Pamoja sana chiefNdio nimemaliza sahv kuisoma aisee nzuri sana
Mzee nimekufuata kwenye web.Hongera. mchuzi wa mbwa haupowi.Tupunguze kidogo arosto ya Kifo cha Kennedy...
Nimewekwa uzi mpya usiku huu The Bold: Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia
Kwa maelezo haya nakataa kwamba mzungu hamjui aliemuuwa Rais JF Kennedy,yaani wanavyojua kuumiza vichwa eti tuambiwe aliemuuwa ni mfanyakazi wa jengo sijui la shule la kutunza vitabu?big no....tena wangeanza na huyo mshauri wa Rais kwa kutoa maagizo ya kijinga pia wale agents waliokubali matakwa ya mtu asiyekuwa na idea na masuala ya kiusalama,kisha waunge dots kwa huyo Ditopile wa Ki-American Ruby naamini case ingekuwa closed kitambo!mkuu the @bold nashkuru kwa kutuchangamsha bongo zetu.thanks in advance chief.
Hukuwa na sababu ya kutamka kuwa mwanaume mwenzio anaringa, kwani hakuna anaemlipa kwa story atupazo humu.Samahani Mkuu.
Tatizo hukutujulisha maana tushakuwa watumwa kila siku twapita angalia hakuna kitu
Ila all the Best
Samahani tena