Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

The bold nitag bhana napata shida kujua kama tayat ushatupia chuma kingne
 
kuna movie moja inaitwa Jackie ni ya 2016 hii inaelezea kila kitu juu ya kifo cha huyo mhesimiwa...inasikitisha sana kwakweli but worth watching it kwakua utaelewa mengi.
 
Haitokaa uje usikie wametoa siri za kuhusika kwao na mauaji ya John F. Kennedy na kaka yake Robert F. Kennedy.
Hivi mkuu kaka yake Robart ni yule aliyepotea akiwa anaendesha ndege...??
 
Yule ni mwanae JFK anaitwa John F. Kennedy Jr

Robert aliuwawa akiwa katika kampeni za Urais mwaka 1968
Daaah asa kwanini John junior na dadaake walitunguliwa??

Yaani alibaki Jackie tuu...
 
Jamaa anaringa labda anataka tujiunge na group lake
Duh hata wewe mkuu??


Mpaka sasa nimeandika thread 35 humu Jamii Intelligence... Ukisema naringa najiuliza ni busara gani unatumia kufikia maamuzi ya kutamka hilo...


Anyways, wanasema "ukubwa lawama"... Dizaini nishazoea sasa! It comes with the territory..
 
Wakuu,

Ni kwamba; kuna sababu za msingi tu tu kwanini hii stori imesimama... Kiufupi stori iko tayari mpaka sehemu ya nane, but kuna mambo yananikwamisha nisiiweke hapa kwa wakati...

Ila soo inaendelea hapa... Naomba tuvumiliane tu!! Nyinyi mnanijua mimi, siwezi kuringa wala kufanya "uswahili"...

When am all set, you'll see it here.... SOON!!
 
Duh hata wewe mkuu??


Mpaka sasa nimeandika thread 35 humu Jamii Intelligence... Ukisema naringa najiuliza ni busara gani unatumia kufikia maamuzi ya kutamka hilo...


Anyways, wanasema "ukubwa lawama"... Dizaini nishazoea sasa! It comes with the territory..

Samahani Mkuu.
Tatizo hukutujulisha maana tushakuwa watumwa kila siku twapita angalia hakuna kitu
Ila all the Best
Samahani tena
 
Back
Top Bottom