Utaratibu wa vyeo JWTZ

Utaratibu wa vyeo JWTZ

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,214
Reaction score
20,988
Mimi ni raia ila nilibahatika kuishi kambini kama miaka 20 iliyopita maana Mzee wangu alikuwa mwanajeshi hivyo kidogo nina ufahamu wa juu juu na mambo madogomadogo ya wanajeshi wetu.

Ninachojua kuhusu vyeo ni kwamba askari akishaanza na V begani basi ni ngumu kufika kwenye nyota sana sana ataishia kuwa Sir meja au kolokolo 1 & 2, pia form vi waliofanya vizur au graduates wa vyuo ndio wanaruhusiwa kwenda Monduli kutafuta nyota.

Kitu ninachoomba kufahamishwa inakuwaje form iv anaingia jeshini anafika mpaka kuwa koplo wa Jeshi Kisha baadae anaenda Monduli kutafuta nyota?
 
Ngoja tuwasikilize tu hizo fani hatuzijui kabisa
 
Wewe bado unawaza kikoloni, unadhani bado tumetawaliwa na uiingereza na sheria na taratibu zinazotuongoza ni zile.kutoka queens bench au privy council na sio sheria za nchi ambayo.ni free independent and sovereign?
 
Haiwezekani kusoma ukaongeza elimu ukiwa jeshini? Ukafanya mitihani ya kidato cha sita
,diploma au digrii?

Mkuu Yoda kuna hoja ya msingi sana inakuaje huyo Luteni Urio elimu yake ya mwisho ni Veta na Form na form yenyewe ya Division three ya mwisho ilhali Jeshini hata kwa Cheti cha Form six tu ni ngumu sana kuwa Luteni
 
Back
Top Bottom