Msemajiwao
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 621
- 1,514
Mkuu mada zako huwa kama za masihara lakini kama zina hoja kubwa sana!Kwanza kabisa niseme! utaratibu Wa kupima ukimwi mbali na kuwepo maswali mazito lakini pia siyo rafiki hasa kwa wanaume!
Naomba mwenye majibu tafadhali; Maana naona huo utaratibu siyo rafiki kwa wanaume kabisa ndiyo maana tunakimbiaga majibu
- Sijawahi kuelewa kwanini mtu akishapimwa, bado anatakiwa ku-comfirm tena na tena after three months anapimwa second round, halafu tena after three months third round!..Kwanini miezi yote tisa jaman?
- miezi yote hiyo tisa yakusubili kurudia kupima kiuhalisia mapenzi huyo mtu anakuwa anafanya na nani?
- Kama kupima mara moja siyo sahihi, Je; Zile damu za kuchangia watu huwa zinapimwa Mara ngapi nakupelekewa wagonjwa pasipokusubili miezi tisa, Je damu hizo huwa siyo salama?