- Thread starter
- #61
hahahahahSi hujakitupa? Unasubiri mistari iwe mingi ukitupe sio? Unachokitafuta utakipata.
Hichi kipimo ni instant. Unadondosha damu na droplets zile unapokea majibu hapo hapo. Hiyo ya kukilaza kama kiporo cha ubwabwa unachokitafuta unakijua mwenyewe.