Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 842
- 1,743
Habari za jioni wakuu napenda kujua utaratibu wa kufuta leseni ya biashara nataka niifute ili nifanye biashara bila leseni kuepuka gharama za kikokotozi cha TRA ,
Najua tupo wengi tunaotaka kufuta leseni
Najua tupo wengi tunaotaka kufuta leseni