X_Khally
Member
- Aug 28, 2023
- 42
- 46
Habari wa JF,
Samahani nina swali kuhusu upatikanaji wa leseni ya biashara .Iwapo nina TIN number.
Je, ni documents gani natakiwa kuwa nazo ili kukamikisha upatikanaji wa leseni na pia muongozo wa upatikanaji ukoje na inachukua mda gani na gharama zake.
NB: Ni duka la Nguo za Mitumba.
Samahani nina swali kuhusu upatikanaji wa leseni ya biashara .Iwapo nina TIN number.
Je, ni documents gani natakiwa kuwa nazo ili kukamikisha upatikanaji wa leseni na pia muongozo wa upatikanaji ukoje na inachukua mda gani na gharama zake.
NB: Ni duka la Nguo za Mitumba.