Mimi mwenyewe nilifanya mabadiriko ya jina na kufanikiwa,kwanza nenda kwa wakiri anayetambulika na serikali, baada ya hapo utaenda wizara ya ardhi, nyumba na makazi ambao watakupa hati ya kubadirisha jina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.