Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
jina ilo nilipewa toka utoto lkn ni kinyume na imani yangu. naomba kujua taratibu za kuweza kubadili kila mahali lilipo
nenda kwa wakili utapata maelekezo yote
wakili gani, na nampata wapi mkuu? Mahakamani au?
wakili gani, na nampata wapi mkuu? Mahakamani au?
Mimi nipo kilombero, sasa kwenye bvr niandike jina gani? MAANA NDO WAPO KWETU. MSAADA JAMANI
Sasa mm nimeandikisha jina la emmanuel kwny bvr wakati jina la shule ni rashid. inaweza kusumbua?
Hivi inawezekana kubadili jina?
Sasa mm nimeandikisha jina la emmanuel kwny bvr wakati jina la shule ni rashid. inaweza kusumbua?
jina ilo nilipewa toka utoto lkn ni kinyume na imani yangu. naomba kujua taratibu za kuweza kubadili kila mahali lilipo
Imani ni moyoni, jina halina uhusiano wowote na Imani.