Utaratibu mpya wa ticket CRDB hujakaa sawa

Point ya kanisa tu mi ndo nataka elewa,ila ukweli wanaboa sana,ukienda lipia leseni ya gari(wao ndo wanapokea hela kwa niaba ya TRA) unaweza fia pale kwa kusimama na njaa na sometimes mambo yanaenda slow sana.......sasa kama na kwenda kwenye huduma zingine ndo hayo tena basi kazi ipo,wanahitaji kufanya mabadiliko.
 
Mkuu pididy hii post haieleweki kabisa kwa wengi wetu.
Mimi huku nilipo sijui kabisa mambo ya namba ndio nini, sasa unapo post kitu as if wote tulikuwa na wewe wakati huo unakosea, na kibaya zaidi heading yako na ulio andika ndani ni tofauti kabisa.
Nadhani umeiandika kwa jazba sana mkuu, zingatia uliloambiwa happ juu, ukiwa na hasira sana usikurupuke tulia kwanza.
 
Wapendwa akuna asiependa globalization kama wanavyoita watanzania
ila kuna huu upupu ni hatari sana umekuwa ugonjwa mbaya kuliko ukimwi
hili swala la kugawana namba ni ugonjwa mbaya sana,,aiwezekani mtu anakuja saa nne
anachukua namba anaenda nyumban anaelekea airport na kurudi anakuta ajaitwa
huu ni upuuzi CRDB msiige vitu msivyoviweza mtakimbiwa na kila mmoja.....

Jamani imagine mtu anafika na kupewa karatasi namba 578 wakati hata 180 ajaitwa
hamuoni hu ni ushenzi na uppuuzi wa ajabu.......,alafu embu watanzania sijui niwaite hawa
jamaa washenzi ama wamefika namba 363 dada anaeiita akachoka wakabonyeza mashine ikaakaa
kimya wasivyo wastaarabu hawa wanga wameshindwa kusema wamechoka watu wamekaa dk 10
awaiti ndipo zogo likaanza akaja kabinti mmoja amekomaa kama mbuyu wa pale mbuyuni kituoni
kuanzia 360-380 wapange folen so utaona huu ni upuuzi kwenye folen unakuta wa 380 anaanza
maana ya namba inakuwa ushenzi mtupu....

EMBU JAMANI BADILIKEN CRDB HUU NI UJINGA WA AAJABU KABISA TUBADILIKE MSITUTESE KWA KUWA ATUNA PA KUKIMBILIA NOW TUMECHOKA IPO SIKU WAJWAZITO WATAWAFIA NA WATOTO MLE NDANI WAKIZAA NDIO MTAJUA HII MSG NINAYOWAAMBIA

MWENYE SIKIO NA SIKIE ASEMA

PDIDY

hapa hujafikisha ujumbe tafuta contact za hapo af uwandikie email ya design hii labda kdogo itawagusa
 
Mkuu pididy hii post haieleweki kabisa kwa wengi wetu.
Mimi huku nilipo sijui kabisa mambo ya namba ndio nini, sasa unapo post kitu as if wote tulikuwa na wewe wakati huo unakosea, na kibaya zaidi heading yako na ulio andika ndani ni tofauti kabisa.
Nadhani umeiandika kwa jazba sana mkuu, zingatia uliloambiwa happ juu, ukiwa na hasira sana usikurupuke tulia kwanza.

ni bora ukaenda hilo tawi la mlimani city ukaiona hiyo songombingo anayoilalamikia. Huwa nikifika pale nikishaona ule umati wa watu wanaosubiri namba zao kuitwa wengi kama vile wako kwenye mkutano huwa naingia bengi mlango wa pili. Kwa kweli inasikitisha sana.
Ni kama vile crdb mlimani hawahitaji wateja.
 
Kanisa gani linatumia Queuing Theory - FIFO?

Pdidy nadhani either jana haujalala nyumbani au ulizidisha pombe?

Heading na contents tofauti kabisa? Halafu contents hazieleweki - Binafsi sioni tatito na mfumo wa CRDB Bank Mlimani City - Nimekuwepo a number of times na believe me huwezi kulinganisha na NMB ambayo iko a coiple of meters away - NMB unaweza kusimama for three good hours kabla ya ku-transact!

Big UP CRDB Bank
 
Mimi nataka Pdidy (wa wapi sijui Tandale) ufafanue ni kivipi CRDB Mlimani City imegeuka kanisa.Je ni kitu gani cha kufananisha hilo tawi au huduma zake na kanisa?
 
pole bwana pdidy.mfumo wa kutumia number ni mzuri sana na ni rahisi tatizo la sisi wabongo kila inapokuja huduma mpya tunalalamika lkn baadae tunaikubali, huku kwa wenzetu sehemu yoyote inayohudumia watu kama hospitali,manispaa, uhamiaji na mmashirika kadhaa wanatumia mfumo wa number hivo anaewahi ndo anakuwa wa kwanza kuitwa,labda tulaumu kwa bongo wameweka counter chache au wahudumu wachache.jaribu pia kupanga mda mzuri wa kwenda benki mfano saa 5 hivi au saa 8 wateja wanakuwa sii wengi sana kutegemeana na siku.Inashangaza kuwa na wateja 300 benki kwa wakati moja unapaswa kuhamiatawi jingine la karibu kupatiwa huduma.punguza jazba kaka au umetoka kule kwetu kwa upinde na mshale?i mean kina muuuuuuuuuuuuuuurrrrrrrrrrrrrrrrrraaaaaa? mie simo
 
Kwangu mimi naona huu mfumo ni bora kuliko wa kukaa foleni. Unaingia benki, ukiona namba yako iko mbali sana unaweza kukadiria itachukua muda gani kabla namba yako haijafika then kama unashughuli nyingine ya kufanya katika kipindi hicho unaenda kufanya kisha unarudi kuchukua huduma yako.

Mimi niliwahi kuingia CRDB tawi la Millenium towers, baada ya kuona namba yangu iko mbali na kuna mtu ananisubiri Kimara, nikaenda kuattend issue ya Kimara baada ya kama saa mbili nikarudi nikakuta bado watu kama ishirini namba yangu ifikiwe nikasubiri nikapata huduma.

Kitu ambacho mabenki yetu yangefanya ni kutafuta namna bora zaidi ya kupunguza muda wa mtu kukaa Benki kana Kwamba kwenda benki ni kazi ya siku nzima, either wafungue matawi mengi zaidi kama wakiona wateja wamekuwa wengi au waongeze mashine za kuingiza hela( ATM).

Wafanye study kujua ni huduma zipi zinazosababisha watu wawe wengi ndani ya benki kwani kama kuchukua hela ATM zipo, kama watu wanahitaji kuchukua kiasi zaidi ya kinachoruhusiwa na benki basi wakiongeze nk nk

Aisee~~,Which means u wud have to wait there for 2 hours if not going to Kimara..!!!

No wonder watu wanachukua hadi za keshokutwa~~,to save time

Anyway,,it's a gud tech.....keep it up CRDB.
 
si mtumie benk zingine? hiyo bank imeshazidiwe watu, mi najiendeaga FBME BANK pale unakuta watu wawili ndani halafu teller anasubiri watu raha kweli......
 
Wapendwa akuna asiependa globalization kama wanavyoita watanzania
ila kuna huu upupu ni hatari sana umekuwa ugonjwa mbaya kuliko ukimwi
hili swala la kugawana namba ni ugonjwa mbaya sana,,aiwezekani mtu anakuja saa nne
anachukua namba anaenda nyumban anaelekea airport na kurudi anakuta ajaitwa
huu ni upuuzi CRDB msiige vitu msivyoviweza mtakimbiwa na kila mmoja.....

Jamani imagine mtu anafika na kupewa karatasi namba 578 wakati hata 180 ajaitwa
hamuoni hu ni ushenzi na uppuuzi wa ajabu.......,alafu embu watanzania sijui niwaite hawa
jamaa washenzi ama wamefika namba 363 dada anaeiita akachoka wakabonyeza mashine ikaakaa
kimya wasivyo wastaarabu hawa wanga wameshindwa kusema wamechoka watu wamekaa dk 10
awaiti ndipo zogo likaanza akaja kabinti mmoja amekomaa kama mbuyu wa pale mbuyuni kituoni
kuanzia 360-380 wapange folen so utaona huu ni upuuzi kwenye folen unakuta wa 380 anaanza
maana ya namba inakuwa ushenzi mtupu....

EMBU JAMANI BADILIKEN CRDB HUU NI UJINGA WA AAJABU KABISA TUBADILIKE MSITUTESE KWA KUWA ATUNA PA KUKIMBILIA NOW TUMECHOKA IPO SIKU WAJWAZITO WATAWAFIA NA WATOTO MLE NDANI WAKIZAA NDIO MTAJUA HII MSG NINAYOWAAMBIA

MWENYE SIKIO NA SIKIE ASEMA

PDIDY

Nimeutumia mfumo huu hapo Azikiwe branch ni bomba sana. It took me only 20 minutes. Nilipofika nilipewa namba 270 wakati aliyekiwa anaitwa alikuwa wa 145.
Ni kweli kuwa hapo Mlimani city pamekuwa manzese. Watu wanenda hapo kama kufanya sagula sagula ya mitumba hivyo benki zote zinajaa sana. Ukiona hivyo acha nenda kwingine badala ya kulaumu mfumo. Mfumo huu hautoi nafasi kwa mtu kujichomeka.
 
yaani hata ukipita kwa pale nje unasisimka..watu nyomi kama kko shimoni?hata AC sijui zinafanyake kazi mle ndani?
 
Nimekuelewa ila kwa taabu sana tena kuna haja ya kunipa fidia kwa kweli.
Pole kwa ilo kwa ni lazima uuhudumiwe na apo tuu jamani.
Tz hayo mambo ya kuruka namba yapo sana
 
Nimeelewa tatizo lako, nimetatizwa na crdb kugeuka kanisa, naomba ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom