Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
Point ya kanisa tu mi ndo nataka elewa,ila ukweli wanaboa sana,ukienda lipia leseni ya gari(wao ndo wanapokea hela kwa niaba ya TRA) unaweza fia pale kwa kusimama na njaa na sometimes mambo yanaenda slow sana.......sasa kama na kwenda kwenye huduma zingine ndo hayo tena basi kazi ipo,wanahitaji kufanya mabadiliko.