Utaratibu mpya wa ticket CRDB hujakaa sawa

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Wapendwa akuna asiependa globalization kama wanavyoita watanzania
ila kuna huu upupu ni hatari sana umekuwa ugonjwa mbaya kuliko ukimwi
hili swala la kugawana namba ni ugonjwa mbaya sana,,aiwezekani mtu anakuja saa nne
anachukua namba anaenda nyumban anaelekea airport na kurudi anakuta ajaitwa
huu ni upuuzi CRDB msiige vitu msivyoviweza mtakimbiwa na kila mmoja.....

Jamani imagine mtu anafika na kupewa karatasi namba 578 wakati hata 180 ajaitwa
hamuoni hu ni ushenzi na uppuuzi wa ajabu.......,alafu embu watanzania sijui niwaite hawa
jamaa washenzi ama wamefika namba 363 dada anaeiita akachoka wakabonyeza mashine ikaakaa
kimya wasivyo wastaarabu hawa wanga wameshindwa kusema wamechoka watu wamekaa dk 10
awaiti ndipo zogo likaanza akaja kabinti mmoja amekomaa kama mbuyu wa pale mbuyuni kituoni
kuanzia 360-380 wapange folen so utaona huu ni upuuzi kwenye folen unakuta wa 380 anaanza
maana ya namba inakuwa ushenzi mtupu....

EMBU JAMANI BADILIKEN CRDB HUU NI UJINGA WA AAJABU KABISA TUBADILIKE MSITUTESE KWA KUWA ATUNA PA KUKIMBILIA NOW TUMECHOKA IPO SIKU WAJWAZITO WATAWAFIA NA WATOTO MLE NDANI WAKIZAA NDIO MTAJUA HII MSG NINAYOWAAMBIA

MWENYE SIKIO NA SIKIE ASEMA

PDIDY
 
Pdidy
Pole sana na kadhia hii iliyokupata hapo CRDB, please take a breath then, tulia kidogo then edit hii post ili tuweze kuilewa vizuri. Naona kama umegusia tatizo la kupewa namba kwenye foleni, lakini haijaeleweka vizuri maana yake umeunganisha mambo mengine.
Ni maoni yangu tu baada ya kuipitia na kukukuta sijapata ujumbe uliokusudiwa vizuri.
 
Si zani kama unaelewa hiyo Technology.. Hakuna mdada anaye ita pale bro... Everything imekuwa programed ...utazoea tu hizo ndiyo huduma bora TATIZO LA SISI WATANZANIA HATUNA TABIA YA KUQUEUE ... USHAZOEA ZOGO KAMA MPO SOKONI VILE.
 
Wapendwa akuna asiependa globalization kama wanavyoita watanzania
ila kuna huu upupu ni hatari sana umekuwa ugonjwa mbaya kuliko ukimwi
hili swala la kugawana namba ni ugonjwa mbaya sana,,aiwezekani mtu anakuja saa nne
anachukua namba anaenda nyumban anaelekea airport na kurudi anakuta ajaitwa
huu ni upuuzi CRDB msiige vitu msivyoviweza mtakimbiwa na kila mmoja.....

Jamani imagine mtu anafika na kupewa karatasi namba 578 wakati hata 180 ajaitwa
hamuoni hu ni ushenzi na uppuuzi wa ajabu.......,alafu embu watanzania sijui niwaite hawa
jamaa washenzi ama wamefika namba 363 dada anaeiita akachoka wakabonyeza mashine ikaakaa
kimya wasivyo wastaarabu hawa wanga wameshindwa kusema wamechoka watu wamekaa dk 10
awaiti ndipo zogo likaanza akaja kabinti mmoja amekomaa kama mbuyu wa pale mbuyuni kituoni
kuanzia 360-380 wapange folen so utaona huu ni upuuzi kwenye folen unakuta wa 380 anaanza
maana ya namba inakuwa ushenzi mtupu....

EMBU JAMANI BADILIKEN CRDB HUU NI UJINGA WA AAJABU KABISA TUBADILIKE MSITUTESE KWA KUWA ATUNA PA KUKIMBILIA NOW TUMECHOKA IPO SIKU WAJWAZITO WATAWAFIA NA WATOTO MLE NDANI WAKIZAA NDIO MTAJUA HII MSG NINAYOWAAMBIA

MWENYE SIKIO NA SIKIE ASEMA

PDIDY

ulichokisema ni kweli!lakini hebu jaribu kupunguza jaziba!!infwakiti system hii wasingeifanyia uhuni na sisi wtumiaji tukaacha uhuni wa kuchukua namba na kurudi kuoga nyumbani ingesaidia!!lkn kwa style uliyoisema kazi badi ni ndefu!!
 
Sijaelewa kitu! Kwa maana hiyo mfumo huo usitumike? Hii ni bongolala sana. Mfumo huo upo sehemu nyingi. Namba inapoitwa AMA kuwa displayed isiyokuwepo hurukwa na kuhudumia nyingine. Nenda ubalozi wa UK hapo umoja hse ama US embassy wanatwanga mfumo huo. Mleta mada nadhani anapombe kichwani za mapinduzi!
 
ulichokisema ni kweli!lakini hebu jaribu kupunguza jaziba!!infwakiti system hii wasingeifanyia uhuni na sisi wtumiaji tukaacha uhuni wa kuchukua namba na kurudi kuoga nyumbani ingesaidia!!lkn kwa style uliyoisema kazi badi ni ndefu!!

Mhh hata kama mtu anachukua namba na kwenda home kuoga, haiwezekani watu karibu 300 wawe wamechukua namba na kuondoka. Kuna namna hapa!!!
 
pdidy
pole sana na kadhia hii iliyokupata hapo crdb, please take a breath then, tulia kidogo then edit hii post ili tuweze kuilewa vizuri. Naona kama umegusia tatizo la kupewa namba kwenye foleni, lakini haijaeleweka vizuri maana yake umeunganisha mambo mengine.
Ni maoni yangu tu baada ya kuipitia na kukukuta sijapata ujumbe uliokusudiwa vizuri.

ni hivi mpwa,wamekuja na tekcnohama ya kupewa namba na hivyo ukienda kwenye dirisha unaitwa kwa namba..akika ni mahudhi maana kama nimefika saa nne nikapata namba alafu nikaenda hme -airport-back mliman site na still sijaitwa haya ni mateso jamani..sikatai lakini wenzetu wanafanya hivi wanakuwa wana counter za kutosha hapo southafrica counter zaidi ya kumi na..ukuti mtu anaitwa baada ya dk kumi.....

Kibaya zaidi wafanyakazi wameanza kuutumiwa kupewa hela na watu wanaongezewa cha juu then wanapeeleka counter ndani kwa ndani unashangaa mtu amefika anatoka na hela wakati wewe umekaa zaidi masaa 4,,polen wengine atukufanya mtihan wa kishwahili
ila naomba wabadilike...kingine mtu anaingia anachukua namba 550..akiwa anasubiri kuitwa anasikia namba 189..jamani jamani yaani 550-189 unaweza kujua anatakiwa asubiri watu wangapi...
 
Sijaelewa kitu! Kwa maana hiyo mfumo huo usitumike? Hii ni bongolala sana. Mfumo huo upo sehemu nyingi. Namba inapoitwa AMA kuwa displayed isiyokuwepo hurukwa na kuhudumia nyingine. Nenda ubalozi wa UK hapo umoja hse ama US embassy wanatwanga mfumo huo. Mleta mada nadhani anapombe kichwani za mapinduzi!

Ahanste PASTOR!!
 
Kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe.Kwenye thread hujaeleza ulivyooanisha CRDB na kanisa.

Halafu ndugu unapokuwa na hasira jaribu kutoandika chochote kama email,barua ,kupiga simu au kuongea.Namaanisha ushikwapo na hasira jaribu kusubiri mpaka zimekwisha ndipo ufanye maamuzi,ona ulichokiandika hakieleweki ni sawa sawa tu ulikuwa ndani ya benki ya CRDB tawi la Mlimani City ukakasirishwa na huduma then ukatoka nje na kuanza kumsimulia mteja mwingine.

Sisi sote hatukuwepo CRDB tawi la Mlimani City kwa hiyo unatakiwa ukae chini utulie na ku-edit thread yako,uanze na Introduction na then background fupi ya hiyo teknology.Baada ya hapo unaweza ukadiscuss ubaya wa huduma inayotolewa hapo CRDB tawi la Mlimani City.

Mwisho ukatoa suggestion ambayo ita-hang kuruhusu wana JF wachangie AU unaweza usitoe suggestion na ukaiacha kama swali ili wana JF wachangie.
 
Sijaelewa kitu! Kwa maana hiyo mfumo huo usitumike? Hii ni bongolala sana. Mfumo huo upo sehemu nyingi. Namba inapoitwa AMA kuwa displayed isiyokuwepo hurukwa na kuhudumia nyingine. Nenda ubalozi wa UK hapo umoja hse ama US embassy wanatwanga mfumo huo. Mleta mada nadhani anapombe kichwani za mapinduzi!

REV,Soma vyema
atuukatai mfumo ila tunaomba uboreshwe badala ya kumweka mtu masaa kadhaa..unaweza ona mtu anaingia anachukua namba 578 anasikia namba 189 nenda dirisha namba 2.unaweza jua atakaa muda gani..nafikiri wana muda wa kijirekebisha ..kingine ni upuzi wa kama wameamua kwa nini kila siku wakifika namba fulan wanakaa kimya sijui mashine imegoma kusema ama la...watu mnaanza kuulizana mbona awaiti tena gafla unamwona mbinti anakuja kuita namba 220-240 kazi ipo kwa kweli..na kama unafaa kwa nini wasitumie CRDB zote na mjini na vijijini wamaue baadhi ya matawi
Jiulize
 
Pdiddy hii ni crap uliyopost! Samahani jaribu kuweka staha! Kanisa gani hutoa namba? Pumba bin crap hizi
 
Kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe.Kwenye thread hujaeleza ulivyooanisha CRDB na kanisa.

Halafu ndugu unapokuwa na hasira jaribu kutoandika chochote kama email,barua ,kupiga simu au kuongea.Namaanisha ushikwapo na hasira jaribu kusubiri mpaka zimekwisha ndipo ufanye maamuzi,ona ulichokiandika hakieleweki ni sawa sawa tu ulikuwa ndani ya benki ya CRDB tawi la Mlimani City ukakasirishwa na huduma then ukatoka nje na kuanza kumsimulia mteja mwingine.

Sisi sote hatukuwepo CRDB tawi la Mlimani City kwa hiyo unatakiwa ukae chini utulie na ku-edit thread yako,uanze na Introduction na then background fupi ya hiyo teknology.Baada ya hapo unaweza ukadiscuss ubaya wa huduma inayotolewa hapo CRDB tawi la Mlimani City.

Mwisho ukatoa suggestion ambayo ita-hang kuruhusu wana JF wachangie AU unaweza usitoe suggestion na ukaiacha kama swali ili wana JF wachangie.

Nickname you are quite right!!
 
Kwangu mimi naona huu mfumo ni bora kuliko wa kukaa foleni. Unaingia benki, ukiona namba yako iko mbali sana unaweza kukadiria itachukua muda gani kabla namba yako haijafika then kama unashughuli nyingine ya kufanya katika kipindi hicho unaenda kufanya kisha unarudi kuchukua huduma yako.

Mimi niliwahi kuingia CRDB tawi la Millenium towers, baada ya kuona namba yangu iko mbali na kuna mtu ananisubiri Kimara, nikaenda kuattend issue ya Kimara baada ya kama saa mbili nikarudi nikakuta bado watu kama ishirini namba yangu ifikiwe nikasubiri nikapata huduma.

Kitu ambacho mabenki yetu yangefanya ni kutafuta namna bora zaidi ya kupunguza muda wa mtu kukaa Benki kana Kwamba kwenda benki ni kazi ya siku nzima, either wafungue matawi mengi zaidi kama wakiona wateja wamekuwa wengi au waongeze mashine za kuingiza hela( ATM).

Wafanye study kujua ni huduma zipi zinazosababisha watu wawe wengi ndani ya benki kwani kama kuchukua hela ATM zipo, kama watu wanahitaji kuchukua kiasi zaidi ya kinachoruhusiwa na benki basi wakiongeze nk nk
 
Wapendwa akuna asiependa globalization kama wanavyoita watanzania
ila kuna huu upupu ni hatari sana umekuwa ugonjwa mbaya kuliko ukimwi
hili swala la kugawana namba ni ugonjwa mbaya sana,,aiwezekani mtu anakuja saa nne
anachukua namba anaenda nyumban anaelekea airport na kurudi anakuta ajaitwa
huu ni upuuzi CRDB msiige vitu msivyoviweza mtakimbiwa na kila mmoja.....

Jamani imagine mtu anafika na kupewa karatasi namba 578 wakati hata 180 ajaitwa
hamuoni hu ni ushenzi na uppuuzi wa ajabu.......,alafu embu watanzania sijui niwaite hawa
jamaa washenzi ama wamefika namba 363 dada anaeiita akachoka wakabonyeza mashine ikaakaa
kimya wasivyo wastaarabu hawa wanga wameshindwa kusema wamechoka watu wamekaa dk 10
awaiti ndipo zogo likaanza akaja kabinti mmoja amekomaa kama mbuyu wa pale mbuyuni kituoni
kuanzia 360-380 wapange folen so utaona huu ni upuuzi kwenye folen unakuta wa 380 anaanza
maana ya namba inakuwa ushenzi mtupu....

EMBU JAMANI BADILIKEN CRDB HUU NI UJINGA WA AAJABU KABISA TUBADILIKE MSITUTESE KWA KUWA ATUNA PA KUKIMBILIA NOW TUMECHOKA IPO SIKU WAJWAZITO WATAWAFIA NA WATOTO MLE NDANI WAKIZAA NDIO MTAJUA HII MSG NINAYOWAAMBIA

MWENYE SIKIO NA SIKIE ASEMA

PDIDY

Mmefanya kwenda mlimani city kama outing.

Watu wengine bana, unafunga safari kwenda Mlimani City kwa ajili ya huduma ya bank tu! Except kwa Jumapili na extra hrs wanazofanya hapo Mlimani city, na kama si lazima sana kutumia CRDB Mlimani City, CRDB UDSM branch ipo .
 
Wapendwa akuna asiependa globalization kama wanavyoita watanzania
ila kuna huu upupu ni hatari sana umekuwa ugonjwa mbaya kuliko ukimwi
hili swala la kugawana namba ni ugonjwa mbaya sana,,aiwezekani mtu anakuja saa nne
anachukua namba anaenda nyumban anaelekea airport na kurudi anakuta ajaitwa
huu ni upuuzi CRDB msiige vitu msivyoviweza mtakimbiwa na kila mmoja.....

Jamani imagine mtu anafika na kupewa karatasi namba 578 wakati hata 180 ajaitwa
hamuoni hu ni ushenzi na uppuuzi wa ajabu.......,alafu embu watanzania sijui niwaite hawa
jamaa washenzi ama wamefika namba 363 dada anaeiita akachoka wakabonyeza mashine ikaakaa
kimya wasivyo wastaarabu hawa wanga wameshindwa kusema wamechoka watu wamekaa dk 10
awaiti ndipo zogo likaanza akaja kabinti mmoja amekomaa kama mbuyu wa pale mbuyuni kituoni
kuanzia 360-380 wapange folen so utaona huu ni upuuzi kwenye folen unakuta wa 380 anaanza
maana ya namba inakuwa ushenzi mtupu....

EMBU JAMANI BADILIKEN CRDB HUU NI UJINGA WA AAJABU KABISA TUBADILIKE MSITUTESE KWA KUWA ATUNA PA KUKIMBILIA NOW TUMECHOKA IPO SIKU WAJWAZITO WATAWAFIA NA WATOTO MLE NDANI WAKIZAA NDIO MTAJUA HII MSG NINAYOWAAMBIA

MWENYE SIKIO NA SIKIE ASEMA

PDIDY


Mbona sielewi???

basi andika hata kizungu mzee, crdb imegeukaje kanisa??? hizo namba za kwenda wap? kuweka au kukopa? watumiaji wa CRDB Tz em nieleweshwe.
 
Concept ya kutumia namba ni sawa kabisa. Lakini CRDB Bado hawajafkia hatu hiyo. Kuna wakati Pale kijitonyama walicha siku moja kuita namba foleni ilikuwa inasogea. Hizo namba zipo still kuna watu wankuja wanachukua namba na bado wanaenda straight kwa counter na kuhudumiwa huku wakitia story dakika nyingi tu. hiyo ndo inayoniudhi.
 
Back
Top Bottom