Utaratibu huu wa necta hauna manufaa

kitongoji

Member
Apr 27, 2012
5
2
kuna utaratibu kwamba endapo utapoteza cheti chako cha kidato cha nne au cha sita haijalishi ni kwa namna gani iwe kuibiwa,kuunguliwa, kudondosha, kwenye ajali hata uje na evidence gani hutapatiwa cheti kingine, kinachofanyika km cheti hicho kitahitajika unapeleka maombi yako NECTA kuwajulisha kuwa cheti orginal kinahitajika mahali fulani mfano kwenye interview au kujiendeleza kimasomo. then wao NECTA pasi kupitia kwako wanastify matokeo yako na kuyatuma kule yanapohitajika. ni bora hata wangeweka penalty kuliko kushindwa kumpatia mtu cheti kingine pindi anapokumbwa na tatizo.imagine uko nje ya nchi na unahitaji cheti uriginal, uwasiliane na NECTA mpka waje watume hayo matokeo huko ulipo. cheti cha chuo kikuu, passport na vya kuzaliwa vyote una uwezo wa kuvipata pindi vinapopotea, why vya NECTA ishindikine, kwa hapa kuna umuhimu wa haka kautaratibu kuangaliwa upya
 
Let us be keen ww unafikiri ni sahihi kutengeneza cheti mara mbili, angalia madhara yanayoweza kutokea kwa kuruhusu kutengenezwa mara mbili.ikiwa watu wanaforge vyeti original vipi hali km ile iruhusiwe itakuwaje. Watu wamekuwa si wazalendo kbs mfano mtu anaweza ku-pretend amepoteza cheti kumbe anajamaa yake anahitaji cheti tayar necta changa la macho. Hapo vp.huko chuo kikuu unakokusema cheti kutolewa ni mpaka senate ikae ipitie madai yako half siyo cku moja au mbili ni almost six months vp hapo! Mambo km hayo yakiruhusiwa ndg yangu yakiruhusiwa tunapoteza maana ya vyeti. Nawasilisha!
 
Back
Top Bottom