Bryce mziba
Member
- Jul 20, 2018
- 22
- 8
Wakuu habari...
Siku hizi kama tunavojua kuna biashara nyingi sana za online huku ukifanyiwa delivery either free or malipo kidogo.
Japo ni rahisi kushawishika kwa ubora wa bidhaa wanazouza kulingana na uhitaji wako, kuna wauzaji wengine si waaminifu ni matapeli watakuaminisha ulipie nusu ya gharama ya bidhaa ukishapata mzigo unamalizia gharama ilobaki ila kinachotokea ukishalipia hiyo nusu gharama wanapotea kabisa.. kama ni simu hapokei na sms hazijibiwi unakua umeshatapeliwa tuweni makini nao mimi nimeshalizwa tayari aise.
NOTE: KWA ANAEJUA SEHEMU YA KURIPOTI HAWA MATAPELI HELA WAMESHACHUKUA NA BADO ANAPATIKANA KWENYE HIYO HIYO NO. YAKE MSAADA PLZ🙏🙏
Siku hizi kama tunavojua kuna biashara nyingi sana za online huku ukifanyiwa delivery either free or malipo kidogo.
Japo ni rahisi kushawishika kwa ubora wa bidhaa wanazouza kulingana na uhitaji wako, kuna wauzaji wengine si waaminifu ni matapeli watakuaminisha ulipie nusu ya gharama ya bidhaa ukishapata mzigo unamalizia gharama ilobaki ila kinachotokea ukishalipia hiyo nusu gharama wanapotea kabisa.. kama ni simu hapokei na sms hazijibiwi unakua umeshatapeliwa tuweni makini nao mimi nimeshalizwa tayari aise.
NOTE: KWA ANAEJUA SEHEMU YA KURIPOTI HAWA MATAPELI HELA WAMESHACHUKUA NA BADO ANAPATIKANA KWENYE HIYO HIYO NO. YAKE MSAADA PLZ🙏🙏