Utapeli unaofanywa Na DEV MAGARI BROKER

Utapeli unaofanywa Na DEV MAGARI BROKER

Ghulaam

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
1,868
Reaction score
1,495
Kampuni inayojiita DEV Magari Broker and Auctioneer Limited wakijihusisha na Uuzaji wa magari na utoaji wa mikopo hawa watu ni matapeli

Kampuni hii Iko pale Banana jijini Dsm..... Mnakubaliana kuuziana gari na utakapolipia Nusu ya Fedha pale Ofisini kwao wanaanza kukuzungusha Hutapatiwa Gari wala kurejeshewa Fedha zako kampuni hii Imesajiliwa na BRELA
Na Account ya CRDB iliyosajiliwa kwa jina la hilohilo la Kampuni inayotumika kufanyia malipo

Watu wengi wameishia Kutapeliwa na wasipewe Bidhaa wanazokubaliana kuuziana
Ofisi imeendelea kufanya kazi kwa Utapeli na utajibiwa Vyovyote bila hofu.......Huenda DAVID MGASHI ana watu wakubwa anaowategemea kiasi amekuwa Hajali mtu yeyote

Wakubwa hao wajue wanawaumiza watanzania wenzao David mgashi ni mtu Tapeli kwenye Biashara yake ya Magari
RPC Muliro kwa nafasi yako fuatilia Jambo hili pale Stakishari Kesi za DEV MAGARI zinaripotiwa sana Pale........Dev Magari anawaumiza watanzania

Ana page Instagram ana page Facebook kuweni makini na huyo mtu ukicomment chochote kuhusu utapeli wake atafuta comment yako na kukublock
 
Hadi hapo hauna vivid evidence... anaweza kuwa tapeli kweli ila onesha katapeli nini ...acha udaku wa watu wa daslam..

Vivid evidence kama kitu gani??

kuna mtu yuko Arusha 6M kuna mtu yuko Geita 7.7M kuna mtu yuko masasi 2M kuna mtu yuko Tanga 2.5 ikiwa unaweza kuwasaidia nikupe hizo vivid evidence hawa ni wachache kati ya wengi wanaoumizwa kimyakimya
 
Kwa bongo kama hio kampn ina kigogo huwezi sikia police wanafatilia wakati hizi taarifa ilibidi wazichukue wafwatilie lasivyo wabongo hawatatoa ushirikiano
 
Najua ananunua gari za mikononi kisha naye anauza anazifanyia marekebisho madogo

Bonge la Tapeli kwa sasa mnakubaliana biashara Vizuri unafika mpaka Ofisini kwao Unalipia fedha Nusu kwamba labda gari itafika baada ya siku tatu Hapo ndio David mgashi anakuwa amekutapeli simu za kawaida hapatikani tofauti na whatsaap pekeee huko ndio anakowaumiza watanzania

Ofisini kwake hupati msaada wowote utapigwa kalenda kila siku utatema ndoano mwenyewe

watu wa mikoani Ndio waumizwa wakubwa wa Jambo hili Hawana msaada wowote wanaishia kutapeliwa na mtu huyu
 
Bonge la Tapeli kwa sasa mnakubaliana biashara Vizuri unafika mpaka Ofisini kwao Unalipia fedha Nusu kwamba labda gari itafika baada ya siku tatu Hapo ndio David mgashi anakuwa amekutapeli simu za kawaida hapatikani tofauti na whatsaap pekeee huko ndio anakowaumiza watanzania

Ofisini kwake hupati msaada wowote utapigwa kalenda kila siku utatema ndoano mwenyewe

watu wa mikoani Ndio waumizwa wakubwa wa Jambo hili Hawana msaada wowote wanaishia kutapeliwa na mtu huyu
Wakatie kambi pale ofisini kwake zi njiani Pana onekana.

Haya mambo ya kununua gari bila kuliona kuna jamaa yangu kapigwa kaambiwa Brevis inauzwa 2m. Katuma pesa wakadai mafuta ya laki 3 kuisogeza Morogoro. Baada ya kutuma pesa simu zikazimwa
 
Uwezi nitapeli afu nika kuacha uende uta lipia tu

Kamwe huwezi kua mjanja kwenye pesa yangu🤒
 
Wakatie kambi pale ofisini kwake zi njiani Pana onekana.

Haya mambo ya kununua gari bila kuliona kuna jamaa yangu kapigwa kaambiwa Brevis inauzwa 2m. Katuma pesa wakadai mafuta ya laki 3 kuisogeza Morogoro. Baada ya kutuma pesa simu zikazimwa

Sio yeye wala wale wasaidizi wake jamaa hawana cha kuogopa ......Msaidizi wake anajibu huenda bosi hela amefanyia Mambo mengine kwa hiyo vumilia hivyo Ndio umeshapigwa ......
 
Sio yeye wala wale wasaidizi wake jamaa hawana cha kuogopa ......Msaidizi wake anajibu huenda bosi hela amefanyia Mambo mengine kwa hiyo vumilia hivyo Ndio umeshapigwa ......
Bado hajakutana na vichwa vibovu.
Pesa ya mtu hailiwi bure
 
Back
Top Bottom