Utapeli mpya kupitia kampuni ya Azam

Hapo hata mimi nimeona mleta stori katupiga kamba
Hivyo ndo muhimu kwako? Point ya hii tahadhari sio vitu vilivyoibwa! Nikuwa alert watu juu ya mbinu mpya ya utapeli! Kama wewe kwako muhimu Ni thamani ya vitu vilivyoibwa! Hiyo sio muhimu kwa wengine, ndo maana mpo wawili Tu mnaohoji nonsense issues! Unadhani nimeingiza kiasi gani kudanganya hapa?
 
Hata kama, ila chumvi nyingi huaribu ladha ya mboga
 
Hii stori yakutunga kabisa.unaleweshwa na kuporwa vitu vya thamani ya mil 5 kwenye daladala?.Hyo gari haina kondakta,dereva wala abiria wengine?.au lilikuwa porini ?.
INAVYOONEKANA TAPEL ALICHOFANYA KWANZA NI KUHAKIKISHA ANAWAONYESHA ABIRIA KUWA ALIE KAA NAE NI WAMOJA SO HATA ALIEIBIWA ALIPOZIMIKA, TAPEL " ALIMMILIKI" KMA MTU ANAEMFAHAMU NDIPO ANAPOWEZA PATA MWANYA WA KUMCONTROL KWA LOLOTE....NA KUPELEKEA KUMWIBIA.
 
Badooo kabisa hujanishawishi.hii muvi ina plot holes nyingi sana
 
Inabidi ufungwe kwanini anatembea na pesa zote hizo kwenye madaladala
 
Mkuu umenena. Huu ujinga wetu watanzania kujifanya kuzoea mtu haraka ni wa kijinga sana. Mimi baada ya kusafiri safiri na kuona watu wa nchi nyingine mtu hawezi kunizoea kabisa hata kama nilikuwa namjua zamani. Nchi nyingine hata kuuliza njia inabidi uulize kwa makini kwani wengi hawatakusikiliza hasa kama mazingira ni tatanishi. Sasa hapa mimi nimebaki naduaa eti mtu anaambiwa aonje kinywaji na mtu asiyemjua halafu anakubali. Kwangu mimi hata kusalimia kwa kumpa mtu mkono ni marufuku unless tunajuana.
 

Bongo tushazoea kuchukuliana poa nenda nchi jirani kama unaweza uliza mtu hata mtaa wapili watu wako bize na mambo yao ndo maana hapa bado tunaish maisha ya karne ya 19
 
[QUmini "HKBW, post: 16163416, member: 17862"]Chumvi kwenye stori[/QUOTE]
Ya nini mimi chumvi sasa?
 
Watz tulifanywa ndugu moja wanaozungumza lugha moja ya kiswahili lakini upande wa pili hii pia ni hasara ya kuaminiana km ndugu. Nchi nyingine huwezi kuona utapeli huu wa kuaminiana hivi huku hamfahamiani kabisa.
 
Ndo mana hata mijitu mingine inatongozana na kupelekana gest bila hofu ya kuibiwa mali, kufanywa vibaya na hata kuuawa...watz tubadilike mwe!!
 
Mkuu hebu orodhesha vizuri vitu alivyo ibiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…