Utapeli mpya kupitia kampuni ya Azam

Ila ni utapeli wa zamani.
Walikuwa wanampa victim wao biscuits.... haswa kwenye magari ya mkoani.

Nashangaa miaka hii mtu analizwa kwa technique zike zile za long.....labda tabia ya watanzania kuamini amini watu hovyo ndio inawaponza.
 
mmh hii ni skendo mbaya sana kwa azam duh wahuni wanaichafua kampuni ya watu
 

Kampuni inapozindua bidhaa mpya huita wadau wake na kufanya official launch party ambayo pia wanaalikwa watu mbali mbali kama wataalamu wa sekta hiyo ili kutoa maoni. Haya mambo ya kupeana vikopokwenye mabasi ni utapeli
 
Abiria na wewe mlikuwa mnaangalia anavyokunywa , kulewa na jamaa kufanya vyake
 

Eh! Mchongo huo lakini hapa sidhani kama wametumwa na Azam kama ulivyoandika kwenye kichwa cha habari
 


Very true
 
Labda huyo Jamaa ni mgeni wa jiji hivi mtu una kunywaji kinywaji cha mtu tena usiye mjua? Tabia ya kupenda kunywa kunywa na kula kula imemponza....
Sure, ingawa si mgeni!
 
Eh! Mchongo huo lakini hapa sidhani kama wametumwa na Azam kama ulivyoandika kwenye kichwa cha habari
True, ndo maana nikasema "Kupitia kampuni ya Azam" Ili hata Azam wajue kuna watu wanaiba kupitia Jina la Kampuni Yao.
 
Abiria na wewe mlikuwa mnaangalia anavyokunywa , kulewa na jamaa kufanya vyake
Labda hata alishuka naye njiani akiwa hajitambui, ama alisubiri abiria wapungue, coz hata nauli alilipiwa Na ticket aliikuta mfukoni!
 
Aiseee.... kama kipande za move kimetengenezwa vile. Lijuis linatole kwenye mkoba harafu lamoto na joto hii unapokea na kuanza kufakamia.. sjapenda hii tabia lkn kama mzima mpe pole mwambie aacha tabia ya kupokea vyakula kwa mtu asiyemjua.
 
Inakuwaje unapewa kitu kwenye daladala unakubali?
 
Mkuu hebu tueleze sie tujifunze
nimeghairi ila namshukuru mungu nilizima home siku 2 ka`zini natafutwa sipatikani maana niliibiwa pochi kwa ujumla wake wakasaka kwenye file langu wakaktuta namba ya bi mdashi ikabidi mama ampigie baba wa mtoto wangu. akawapigia majirani bahati nzuri nilizimia sebuleni bila kufunga mlango ... wakanikuta nimekuwa mweusii nadhani nililishwa sumu ya kutosha nikaenda kuflash sumu mwilini maana nilibadilika kabisa ... na nikawa kama naelea angani wiki mzima sikuwa sawa mawenge na maumivu makali sana ya kichwa
 
Ila ni utapeli wa zamani.
Walikuwa wanampa victim wao biscuits.... haswa kwenye magari ya mkoani.

Nashangaa miaka hii mtu analizwa kwa technique zike zile za long.....labda tabia ya watanzania kuamini amini watu hovyo ndio inawaponza.
Wameuboresha sasa, Ni vizuri watu wakataadharishwa....believe me Kuna watu tumezuia kuibiwa kwao kupitia hili bandiko, watu tumetofautiana, uwezo wa kuchanganua mambo, kufikiri n.k tupo tofauti, nani anaishi Dar hapa Adult ambaye hajui karata 3 Ni utapeli??? But raia wanaibiwa everyday! Wakiongozwa Na Wamama!
 
So ulifanikiwa kufika home? Issue ilitokea home, Kwenye daladala au mtaani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…