ANCIENT FROM EGYPT
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 871
- 1,026
Kuna hiyo Kampuni hapo kama kwenye picha inavyoosha, Anatapeli watu kwa Kuwaaminisha kuwa inafanya biashara ya kuuza Laptop hapo mjini Dodoma.
Ukichat nae ukimuuliza kuhusiana na eneo ilipo Ofisi, anatuma Location ambayo Ofisi haipo na walishafukuzqa hapo.
Jamaa anayetapeli watu kwa kutumia hiyo Kampuni anaitwa au anatumia jina la OSCAR NEMES, msomi aliyewahi kusoma Chuo Cha UDOMA hapo.
Huko Facebook anaendelea kutapeli watu kila kukicha naomba Tuwe Makini na Huyo mtu.
Ukichat nae ukimuuliza kuhusiana na eneo ilipo Ofisi, anatuma Location ambayo Ofisi haipo na walishafukuzqa hapo.
Jamaa anayetapeli watu kwa kutumia hiyo Kampuni anaitwa au anatumia jina la OSCAR NEMES, msomi aliyewahi kusoma Chuo Cha UDOMA hapo.
Huko Facebook anaendelea kutapeli watu kila kukicha naomba Tuwe Makini na Huyo mtu.