milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,064
Bayport Ya Kenya Labda Hawa Mashetani Kwanza Wana Laana Yangu.
Hapo juu ulisema wewe Sio mfanyakazi wao wala hufanyi marketing. Sasa hizo facts/details unazotaka zitakusaidia nini? tuendelee tu kupiga story za juu juu. Wao kampuni wakiona wanahitaji facts sijui details wataanzisha uzi wao, watu waanze kumiminika.Sijabisha nimekupa pole
Facts bro!!
Napenda michango yakoHuyu jamaa anadanganya umma, kama unataka kufa kwa presha basi kopa hivi vi kampuni vya Bayport, faidika na upuuzi puuzi mwingine hawa jamaa riba zao ni zaidi ya 5% ukiwauliza wanakataa ila ukifanya mahesabu mwenyewe utaona ukweli uliofichwa
Mimi nilipoulizwa ulilipaje ulipokopa nilisema kwa uwazi, ndio maana nilitegemea nawewe ukibisha ufanye hivyo ila basi, Ubarikiwe, wote mm na wewe naona hatuna conflict of interestHapo juu ulisema wewe Sio mfanyakazi wao wala hufanyi marketing. Sasa hizo facts/details unazotaka zitakusaidia nini? tuendelee tu kupiga story za juu juu. Wao kampuni wakiona wanahitaji facts sijui details wataanzisha uzi wao, watu waanze kumiminika.
Otherwise tuendelee na story...
Ni mtizamo usijenge chuki,hata we una mtizamo wakoHuyu jamaa anadanganya umma, kama unataka kufa kwa presha basi kopa hivi vi kampuni vya Bayport, faidika na upuuzi puuzi mwingine hawa jamaa riba zao ni zaidi ya 50% ukiwauliza wanakataa ila ukifanya mahesabu mwenyewe utaona ukweli uliofichwa
Huna wa kumdanganya hapa. Kajipange upya bro na hiyo promo yakoNililipa 617 na machenchi hivi kwa mwaka mzima nadhani ilikua fair maana niliingiza 1,500,000 kwenye kuku
Mimi nilipoulizwa ulipaje nilisema, ndio maana nilitegemea nawewe ukibisha ufanye hivyo ila basi, Ubarikiwe, wote mm na wewe naona hatuna conflict of interest
Kama ulikua unajua ni mtizamo umekuja kunijibia nn sasa! Ungekaa kimya kuheshimu mtizamo wangu, ila ni ukweli mtupu acheni kudanganya watu na kuwaingiza kwenye matatizo ya madeni makubwa wakati mlichowapa ni kidogo, kuweni wakweliNi mtizamo usijenge chuki,hata we una mtizamo wako
Hata kiasi cha riba hujui, unawezaje kuconvice watu hapa.Ieleweke mimi sifanyi marketing wala sio mfanyakazi wao, nina biashara ya kuku na ninaona jinsi wapinzani wanavyonisema vibaya kwa wateja japo wananielewa na wanakuja kwangu kuniambia, nilivyoona comments na threads zenye maudhuu kama yenu nikaona ni upinzani unawasumbua tu kwamba mnatafuta wateja, note kwamba sijataja madhaifu ya kampuni zingine japo mi ni mkopaji mzoefu na ninafahamu mapungufu mengi kwa hiyo state your argument acheni kejeli, nimetoa observation aliyetari kuthibitisha si wapo kwann tusumbuane
Ok, ignoredKama ulikua unajua ni mtizamo umekuja kunijibia nn sasa! Ungekaa kimya kuheshimu mtizamo wangu, ila ni ukweli mtupu acheni kudanganya watu na kuwaingiza kwenye matatizo ya madeni makubwa wakati mlichowapa ni kidogo, kuweni wakweli
Mwaka mmoja, nilisema mwaka jana nilikopa hiyo mitano sijui umetoa wapiWatafuta ajira ambao wanatarajia kuomba kazi hawa wakitangaza.....mnashauriwa msichangie hoja hii kwa kukandamiza......😉.Ila alichokisema mtoa mada hakiaminiki kabisa, huwezi kopa laki 5 ndani ya miaka mitano ukarudisha laki 6..., haiwezekani!!!!!!!...... Dhambi ya uongo ni mbaya sana!
Share uzoefuBayport ofisini kwetu tunawaogopa kama ukoma maana walichomfanya mfanya kazi mwenzetu mpaka huruma
Huyu atakuwa mfanyakazi wa bayport, hakuna kampuni ya kitepeli kama hii.Sawa.Ulipo kopa hiyo 500000 ulilipa jumla ya sh ngapi na kwa muda gani pamoja na riba.Labda tuanzie hapo
Matapeli yale, kuna jamaa yangu analia balaa, alikopa 2012 1m mpaka leo analipa 63000 kila mwezi jumla anatakiwa 3.6MBayport ofisini kwetu tunawaogopa kama ukoma maana walichomfanya mfanya kazi mwenzetu mpaka huruma
Hata kwa hesabu hii, riba ni 23.4%. Bado ni kubwa tu ukilinganisha na mabenki mengineNililipa 617 na machenchi hivi kwa mwaka mzima nadhani ilikua fair maana niliingiza 1,500,000 kwenye kuku