Utaniua....!!!

Utaniua....!!!

Duh! wimbo umekukumbusha elfu kumi kumi ulizokuwa unamuachia nafasi penye assignment! unaona bora ungekuwa unazi lamba badala ya kufanya upendalo? but pole siku zote muziki licha ya kuwa kiburudisho pia ni ujumbe ingawa miziki ya zama hizi jumbe chache vijana wanasema huu wimbo wa kupari (ku party )
 
Duh! wimbo umekukumbusha elfu kumi kumi ulizokuwa unamuachia nafasi penye assignment! unaona bora ungekuwa unazi lamba badala ya kufanya upendalo? but pole siku zote muziki licha ya kuwa kiburudisho pia ni ujumbe ingawa miziki ya zama hizi jumbe chache vijana wanasema huu wimbo wa kupari (ku party )
Sure mkuu, zile okwi nlizokua naziacha saivi najutia
 
Back
Top Bottom