Utani umenikosesha mpenzi

Utani umenikosesha mpenzi

Kama shepu yake haivutii atakuwa amekasirika na kama shape yake ni nzur au kawaida Huyo atakuwa na yake... Achana nae asikuumize kichwa.
 
:ranger:Maneno siku zote yanauma na yanachefua ukielewa maana yake....:coffee:
NENO LA KITOTO MTOTO KUMWAMBIA MTOTO, TUNASEMA WATOTO WANACHEZA...
:llama::juggle:
NENO LA KITOTO MTOTO KUMWAMBIA MKUBWA TUNASEMA MTOTO ANAKUA.......

:hand:LAKINI MANENO YA KITOTO MTU MZIMA KUMWAMBIA MTU MZIMA MWENZIE KUNA WALAKINI!!! :A S 114::nono:

 
Habari wanajamii,

Kama heading inavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 majuzi hapa nilikuwa na chat na mpenzi wangu WhatsApp ila katka maongezi yetu akaleta utani ambao mimi sikuwa naelewa kama ni utani tu kwasababu hakusema mwishoni kama alikuwa ananitania, basi na mimi nikaanza kumwambia kuwa hunivutii.

Kwanza huna shepu tukisema tukuvue nguo shepu yako ni ya kiazi, basi mi nikalala sasa asubuhi namcheki naona kimyaa ikanibidi nimpigie, alichonijibu ni hatari ndo maana nipo hapa, je nilifanya makosa kumtania vile au alikuwa ananitafutia kisa tuu? Na nifanyeje ili nirudiane nae?

Ushauri wenu please

yeye alikutania kwa kusemaje?
 
epuka kuongea vitu ambavyo napenda kuita "vya moyoni" vitakugharimu.haya ni mambo ambayo huwa yanakaa moyoni tu na hayatakiwi kutoka nje
 
At 23 nilikuwa bize sana na maisha kuhangaishwa na watoto wa kike aisee...! sijui lakini

Mimi nilikuwa bize natafuta mbao za kuchonga kitanda.............vijana wa sasa hivi ni majanga.........

eti shepu kama kiazi........khaaa...........
 
Mimi nilikuwa bize natafuta mbao za kuchonga kitanda.............vijana wa sasa hivi ni majanga.........

eti shepu kama kiazi........khaaa...........

Huu utandawazi kibongobongo nahisi unaturudisha nyuma zaidi ya kutupeleka mbele kimaendeleo!

IN OTHER NEWS: Nimekumiss sana pacha angu...
 
Huu utandawazi kibongobongo nahisi unaturudisha nyuma zaidi ya kutupeleka mbele kimaendeleo!

IN OTHER NEWS: Nimekumiss sana pacha angu...

My twin unapotea sana wewe.......kama hivi utakuja tena hapa siku kama ya leo mwezi ujao........sio poa ujue........
 
inaezekana we ndo kiaz, aiezekan kumropokea wa uban wako mineno ya kishenz ka ivo. tena bora aende 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom